Nandy - Nagusa Gusa Remix (feat. Mr. Blue) текст песни

Текст песни Nagusa Gusa Remix (feat. Mr. Blue) - Nandy




Gusa gusa
Mbwa anavyonusa nusa
Navyopiga nje kama umenipa ruksa
Najiona firauni na ninashindana musa
Mademu kila mahala kila debe najirusha
Kama ungekuwa daladala basi tayari umenishusha
Ninavyowabana kona kama kete na pusha
Mademu wengine tanga watoto wawili arusha
Kila kitu unacho, Pembeni nachepuka
Kama mapenzi ni macho basi yangu yamepofuka
Najua umenichoka ila tu unavumilia
Machozi yanatoka na unacheka baada ya kulia
Beiby oooh nataka uwe nami
Beiby oooh for you am losing control
Beiby oooh nataka uwe nami
Aaah eeh ooh na yeah yeah
Baby ooh nataka uwe nami
Beiby oooh for you am losing control
Beiby oooh nataka uwe nami
Aaah eeh ooh na yeah yeah
Lakini bado, nagusagusa
Bado nagusagusa
Lakini bado, nagusagusa
Yeah eeh gusa
Lakini bado, nagusagusa
Bado nagusagusa
Lakini bado, nagusagusa
Yeah eeh gusa
Amenifaa amenipa mimi faida
Kwenye penzi lake sijagwiba
Sihitaji mwingine wa kunipa tiba
Bado sijaona mwingine atayenifaa
They can say am nothing to you
But you know I like to excuse to you
Ju wanijua, nakujua wewe wewe
Beiby oooh nataka uwe nami
Beiby oooh for you am losing control
Beiby oooh nataka uwe nami
Aaah eeh ooh na yeah yeah
Beiby oooh nataka uwe nami
Beiby oooh for you am losing control
Beiby oooh nataka uwe nami
Aaah eeh ooh na yeah yeah
Lakini bado, nagusagusa
Bado nagusagusa
Lakini bado, nagusagusa
Yeah eeh gusa



Авторы: Faustina Mfinanga



Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.
//}