Proffesor Jay - Jina Langu - перевод текста песни на английский

Текст и перевод песни Proffesor Jay - Jina Langu




Jina Langu
My Name
Jina langu linavuma kwenye mitaa
My name is buzzing in the streets
Jina langu lina hadhi ya kisupa staa
My name has the status of a superstar
Jina langu linaongeza idadi ya maadui
My name increases the number of enemies
Wengine nawajua wengine siwatambui
Some I know, some I don't recognize
Jina langu.kwikwi eyo J tunakuzimia
My name... Quick! Hey, J, we're crazy for you
Jina langu.J alosto ameshazeeka
My name... J Alosto is already old
Joseph Haule mc shupavu wa mitulinga
Joseph Haule, the powerful MC of Mitulinga
Mchawi wa rhymes mti mkavu
The wizard of rhymes, the dry tree
Macho ya chinichini yanatizama nyendo zangu
Jealous eyes are watching my moves
Najua hiyo yote sababu ya kipaji changu
I know it's all because of my talent
Sitaki kujua nani adui nani mwenzangu
I don't want to know who is my enemy and who is my friend
Na kwako muumba wangu ongeza hekima kwangu
And to you, my creator, increase my wisdom
Hiyo sipo ukingoni miguu nje maji ya shingoni
I'm not on the edge, my feet are out, water up to my neck
Mwenye tungo badili wamejizika shimoni
The eloquent ones have buried themselves in a pit
Nani kabaki wapo kitaani mshumaa hauwaki
Who is left? They are in the streets, the candle is not for them
Wameshindwa kuikabili fataki za itifaki
They couldn't handle the stitches of unity
Vina vyangu mahili kwenye giza kama kandili
My verses are skillful, shining in the darkness like a candle
Na kwenye vichwa vya wapotevu naacha kitendawili
And in the minds of the lost, I leave a will
Ni J mti mkavu niite nyota nyang'avu
It's J, the dry tree, call me the bright star
Inayopigwa vita na wenye hoja chakavu
Which is fought against by those with weak arguments
Bado nachakarika na naona kaa za njoshi
I'm still struggling and I see crabs in a bucket
Eeh!! mola ni lini itakwisha hii mikosi
Oh!! God, when will this misfortune end?
Najuta kuitwa supa staa naona karaha
I regret being called a superstar, I see trouble
Mangurubange na washikaji yananigasi nashangaa
Mangurubange and my homies are pushing me, I'm surprised
Huu ni mtafaruku na kero kwenye mitaa
This is chaos and trouble in the streets
J njoo baba ni better tuvute raha
J, come on, man, it's better we withdraw money
Weka mapenzi kando nipeni hoja za msingi
Put love aside, give me basic arguments
Wangapi mtanipenda nikiwa sina shilingi
How many will love me when I have no shilling?
Jina langu linavuma kwenye mitaa
My name is buzzing in the streets
Jina langu lina hadhi ya kisupa staa
My name has the status of a superstar
Jina langu linaongeza idadi ya maadui
My name increases the number of enemies
Wengine nawajua wengine siwatambui
Some I know, some I don't recognize
Jina langu.kwikwi eyo J tunakuzimia
My name... Quick! Hey, J, we're crazy for you
Jina langu.J alosto ameshazeeka
My name... J Alosto is already old
Joseph Haule mc shupavu wa mitulinga
Joseph Haule, the powerful MC of Mitulinga
Mchawi wa rhymes mti mkavu
The wizard of rhymes, the dry tree
Thamani ya ubongo wangu ni kubwa kuliko bingo
The value of my brain is greater than bingo
Nashangaa mapromota bado mnaleta maringo
I'm surprised promoters are still showing off
Bado napiga goti kwa mungu aniongezee
I'm still kneeling to God to increase me
Kwenu vijana wa bongo poleni na starehe
To you, the youth of Bongo, enjoy yourselves
Jasho langu la chuma lataka moyo kulila
My hot charcoal wants a heart to eat
Na wote mtabana ngenge wachawi na wenye hila
And you will all squeeze, witches and those with tricks
Nimeshasebenza na shuluba nyingi za maisha
I have already worked with many hardships in life
Kumbukumbu tu ninazo mr ticha .mr ticha
I only have memories, Mr. Teacher... Mr. Teacher
Wape hi marekani wabongo mashabiki wa mbali
Give them greetings in America, Bongo fans from afar
Bongo dar es salaam mitego bado si shwari
Bongo Dar es Salaam, hip hop is still not good
Ninapokosa hela washikaji wanatoweka
When I run out of money, friends disappear
Ninaporekebisha pumbavu wanasogea
When I recover, fools come closer
Naamini akili yangu ina akili kuliko mchwa
I believe my mind is smarter than a termite
Na ninajua hoja mpya ndo siku inapokucha
And I know a new topic will come up when the day comes
Mwanga na saluti kumkoma nyani jirani
Light and salute to the neighboring baboon
Bado nipo makini siogopi mpinzani wa jadi
I'm still careful, I'm not afraid of my traditional rival
Maneno yangu yajivu ni kama muarobaini
My words are ashes, like a cure
Jamii inakubali vibwengo chomeni chini
The community accepts boasting, bend down
Wapo baadhi ya watu wanaotaka kunihukumu
There are some people who want to judge me
Wanatamani ningekuwa sioni waninyweshe sumu
They wish I was blind, they would make me drink poison
Wengi wananipenda wachache hamnipendi
Many love me, few don't like me
Skendo mnazonipa na mimi sipendi
You give me scandals and I don't like them
Mbio zipo ukingoni chomeka mbavu za mbwa
The race is on the edge, insert dog ribs
Na chochote mnachosema bab kubwa
And whatever you say, Dad, is big
Jina langu linavuma kwenye mitaa
My name is buzzing in the streets
Jina langu lina hadhi ya kisupa staa
My name has the status of a superstar
Jina langu linaongeza idadi ya maadui
My name increases the number of enemies
Wengine nawajua wengine siwatambui
Some I know, some I don't recognize
Jina langu.kwikwi eyo J tunakuzimia
My name... Quick! Hey, J, we're crazy for you
Jina langu.J alosto ameshazeeka
My name... J Alosto is already old
Joseph Haule mc shupavu wa mitulinga
Joseph Haule, the powerful MC of Mitulinga
Mchawi wa rhymes mti mkavu
The wizard of rhymes, the dry tree
J tunakuzimia at yahoo dot com
J, we're crazy for you at yahoo dot com
Pande zote nitakwenda lakini bongo ndo hom
Everywhere I go, Bongo is home
Nazidi kuumiza kichwa nazidi kupata wafuasi
The more I hurt my head, the more followers I get
Maisha ya starehe na ngono kwa sasa basi
The life of partying and sex, for now, that's it
Nafungua milango kwa ajili ya kizazi kipya
I'm opening doors for the new generation
Na chance bado ipo wazi kwa wote waliojificha
And the chance is still open to all those in hiding
Kwenye matamasha nilidhulumiwa mshiko
At concerts, I was cheated out of my grip
Mapromota walikimbia kabla ya kufanya malipo
Promoters ran away before making payments
Sasa jino kwa jino nakwenda nao sambamba
Now, tooth for tooth, I go with them
Napotembea haki siogopi nani katanda
When I walk right, I'm not afraid of who is lurking
Leo nathibitisha ya kwamba kweli natisha
Today I confirm that I am truly scary
Ni fukuto ulanjonjo kwa wote wanaobisha
It's a knockout blow to all those who doubt
Fukara wa kipato nina akili za kitajiri
Poor in income, I have the mind of a rich man
Na muda utakapozidi naamini wote mtakiri
And as time goes on, I believe you will all agree
HBC muongozo wa ma-mc kamati kuu ya wanga imebi
HBC, the guide of MCs, the central committee of the light is broken
Jina langu linavuma kwenye mitaa
My name is buzzing in the streets
Jina langu lina hadhi ya kisupa staa
My name has the status of a superstar
Jina langu linaongeza idadi ya maadui
My name increases the number of enemies
Wengine nawajua wengine siwatambui
Some I know, some I don't recognize
Jina langu.kwikwi eyo J tunakuzimia
My name... Quick! Hey, J, we're crazy for you
Jina langu.J alosto ameshazeeka
My name... J Alosto is already old
Joseph Haule mc shupavu wa mitulinga
Joseph Haule, the powerful MC of Mitulinga
Mchawi wa rhymes mti mkavu
The wizard of rhymes, the dry tree





Авторы: Joseph Haule


Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.