Текст и перевод песни Proffesor Jay - Jina Langu
Добавлять перевод могут только зарегистрированные пользователи.
Jina
langu
linavuma
kwenye
mitaa
My
name
is
buzzing
in
the
streets
Jina
langu
lina
hadhi
ya
kisupa
staa
My
name
has
the
status
of
a
superstar
Jina
langu
linaongeza
idadi
ya
maadui
My
name
increases
the
number
of
enemies
Wengine
nawajua
wengine
siwatambui
Some
I
know,
some
I
don't
recognize
Jina
langu.kwikwi
eyo
J
tunakuzimia
My
name...
Quick!
Hey,
J,
we're
crazy
for
you
Jina
langu.J
alosto
ameshazeeka
My
name...
J
Alosto
is
already
old
Joseph
Haule
mc
shupavu
wa
mitulinga
Joseph
Haule,
the
powerful
MC
of
Mitulinga
Mchawi
wa
rhymes
mti
mkavu
The
wizard
of
rhymes,
the
dry
tree
Macho
ya
chinichini
yanatizama
nyendo
zangu
Jealous
eyes
are
watching
my
moves
Najua
hiyo
yote
sababu
ya
kipaji
changu
I
know
it's
all
because
of
my
talent
Sitaki
kujua
nani
adui
nani
mwenzangu
I
don't
want
to
know
who
is
my
enemy
and
who
is
my
friend
Na
kwako
muumba
wangu
ongeza
hekima
kwangu
And
to
you,
my
creator,
increase
my
wisdom
Hiyo
sipo
ukingoni
miguu
nje
maji
ya
shingoni
I'm
not
on
the
edge,
my
feet
are
out,
water
up
to
my
neck
Mwenye
tungo
badili
wamejizika
shimoni
The
eloquent
ones
have
buried
themselves
in
a
pit
Nani
kabaki
wapo
kitaani
mshumaa
hauwaki
Who
is
left?
They
are
in
the
streets,
the
candle
is
not
for
them
Wameshindwa
kuikabili
fataki
za
itifaki
They
couldn't
handle
the
stitches
of
unity
Vina
vyangu
mahili
kwenye
giza
kama
kandili
My
verses
are
skillful,
shining
in
the
darkness
like
a
candle
Na
kwenye
vichwa
vya
wapotevu
naacha
kitendawili
And
in
the
minds
of
the
lost,
I
leave
a
will
Ni
J
mti
mkavu
niite
nyota
nyang'avu
It's
J,
the
dry
tree,
call
me
the
bright
star
Inayopigwa
vita
na
wenye
hoja
chakavu
Which
is
fought
against
by
those
with
weak
arguments
Bado
nachakarika
na
naona
kaa
za
njoshi
I'm
still
struggling
and
I
see
crabs
in
a
bucket
Eeh!!
mola
ni
lini
itakwisha
hii
mikosi
Oh!!
God,
when
will
this
misfortune
end?
Najuta
kuitwa
supa
staa
naona
karaha
I
regret
being
called
a
superstar,
I
see
trouble
Mangurubange
na
washikaji
yananigasi
nashangaa
Mangurubange
and
my
homies
are
pushing
me,
I'm
surprised
Huu
ni
mtafaruku
na
kero
kwenye
mitaa
This
is
chaos
and
trouble
in
the
streets
J
njoo
baba
ni
better
tuvute
raha
J,
come
on,
man,
it's
better
we
withdraw
money
Weka
mapenzi
kando
nipeni
hoja
za
msingi
Put
love
aside,
give
me
basic
arguments
Wangapi
mtanipenda
nikiwa
sina
shilingi
How
many
will
love
me
when
I
have
no
shilling?
Jina
langu
linavuma
kwenye
mitaa
My
name
is
buzzing
in
the
streets
Jina
langu
lina
hadhi
ya
kisupa
staa
My
name
has
the
status
of
a
superstar
Jina
langu
linaongeza
idadi
ya
maadui
My
name
increases
the
number
of
enemies
Wengine
nawajua
wengine
siwatambui
Some
I
know,
some
I
don't
recognize
Jina
langu.kwikwi
eyo
J
tunakuzimia
My
name...
Quick!
Hey,
J,
we're
crazy
for
you
Jina
langu.J
alosto
ameshazeeka
My
name...
J
Alosto
is
already
old
Joseph
Haule
mc
shupavu
wa
mitulinga
Joseph
Haule,
the
powerful
MC
of
Mitulinga
Mchawi
wa
rhymes
mti
mkavu
The
wizard
of
rhymes,
the
dry
tree
Thamani
ya
ubongo
wangu
ni
kubwa
kuliko
bingo
The
value
of
my
brain
is
greater
than
bingo
Nashangaa
mapromota
bado
mnaleta
maringo
I'm
surprised
promoters
are
still
showing
off
Bado
napiga
goti
kwa
mungu
aniongezee
I'm
still
kneeling
to
God
to
increase
me
Kwenu
vijana
wa
bongo
poleni
na
starehe
To
you,
the
youth
of
Bongo,
enjoy
yourselves
Jasho
langu
la
chuma
lataka
moyo
kulila
My
hot
charcoal
wants
a
heart
to
eat
Na
wote
mtabana
ngenge
wachawi
na
wenye
hila
And
you
will
all
squeeze,
witches
and
those
with
tricks
Nimeshasebenza
na
shuluba
nyingi
za
maisha
I
have
already
worked
with
many
hardships
in
life
Kumbukumbu
tu
ninazo
mr
ticha
.mr
ticha
I
only
have
memories,
Mr.
Teacher...
Mr.
Teacher
Wape
hi
marekani
wabongo
mashabiki
wa
mbali
Give
them
greetings
in
America,
Bongo
fans
from
afar
Bongo
dar
es
salaam
mitego
bado
si
shwari
Bongo
Dar
es
Salaam,
hip
hop
is
still
not
good
Ninapokosa
hela
washikaji
wanatoweka
When
I
run
out
of
money,
friends
disappear
Ninaporekebisha
pumbavu
wanasogea
When
I
recover,
fools
come
closer
Naamini
akili
yangu
ina
akili
kuliko
mchwa
I
believe
my
mind
is
smarter
than
a
termite
Na
ninajua
hoja
mpya
ndo
siku
inapokucha
And
I
know
a
new
topic
will
come
up
when
the
day
comes
Mwanga
na
saluti
kumkoma
nyani
jirani
Light
and
salute
to
the
neighboring
baboon
Bado
nipo
makini
siogopi
mpinzani
wa
jadi
I'm
still
careful,
I'm
not
afraid
of
my
traditional
rival
Maneno
yangu
yajivu
ni
kama
muarobaini
My
words
are
ashes,
like
a
cure
Jamii
inakubali
vibwengo
chomeni
chini
The
community
accepts
boasting,
bend
down
Wapo
baadhi
ya
watu
wanaotaka
kunihukumu
There
are
some
people
who
want
to
judge
me
Wanatamani
ningekuwa
sioni
waninyweshe
sumu
They
wish
I
was
blind,
they
would
make
me
drink
poison
Wengi
wananipenda
wachache
hamnipendi
Many
love
me,
few
don't
like
me
Skendo
mnazonipa
na
mimi
sipendi
You
give
me
scandals
and
I
don't
like
them
Mbio
zipo
ukingoni
chomeka
mbavu
za
mbwa
The
race
is
on
the
edge,
insert
dog
ribs
Na
chochote
mnachosema
bab
kubwa
And
whatever
you
say,
Dad,
is
big
Jina
langu
linavuma
kwenye
mitaa
My
name
is
buzzing
in
the
streets
Jina
langu
lina
hadhi
ya
kisupa
staa
My
name
has
the
status
of
a
superstar
Jina
langu
linaongeza
idadi
ya
maadui
My
name
increases
the
number
of
enemies
Wengine
nawajua
wengine
siwatambui
Some
I
know,
some
I
don't
recognize
Jina
langu.kwikwi
eyo
J
tunakuzimia
My
name...
Quick!
Hey,
J,
we're
crazy
for
you
Jina
langu.J
alosto
ameshazeeka
My
name...
J
Alosto
is
already
old
Joseph
Haule
mc
shupavu
wa
mitulinga
Joseph
Haule,
the
powerful
MC
of
Mitulinga
Mchawi
wa
rhymes
mti
mkavu
The
wizard
of
rhymes,
the
dry
tree
J
tunakuzimia
at
yahoo
dot
com
J,
we're
crazy
for
you
at
yahoo
dot
com
Pande
zote
nitakwenda
lakini
bongo
ndo
hom
Everywhere
I
go,
Bongo
is
home
Nazidi
kuumiza
kichwa
nazidi
kupata
wafuasi
The
more
I
hurt
my
head,
the
more
followers
I
get
Maisha
ya
starehe
na
ngono
kwa
sasa
basi
The
life
of
partying
and
sex,
for
now,
that's
it
Nafungua
milango
kwa
ajili
ya
kizazi
kipya
I'm
opening
doors
for
the
new
generation
Na
chance
bado
ipo
wazi
kwa
wote
waliojificha
And
the
chance
is
still
open
to
all
those
in
hiding
Kwenye
matamasha
nilidhulumiwa
mshiko
At
concerts,
I
was
cheated
out
of
my
grip
Mapromota
walikimbia
kabla
ya
kufanya
malipo
Promoters
ran
away
before
making
payments
Sasa
jino
kwa
jino
nakwenda
nao
sambamba
Now,
tooth
for
tooth,
I
go
with
them
Napotembea
haki
siogopi
nani
katanda
When
I
walk
right,
I'm
not
afraid
of
who
is
lurking
Leo
nathibitisha
ya
kwamba
kweli
natisha
Today
I
confirm
that
I
am
truly
scary
Ni
fukuto
ulanjonjo
kwa
wote
wanaobisha
It's
a
knockout
blow
to
all
those
who
doubt
Fukara
wa
kipato
nina
akili
za
kitajiri
Poor
in
income,
I
have
the
mind
of
a
rich
man
Na
muda
utakapozidi
naamini
wote
mtakiri
And
as
time
goes
on,
I
believe
you
will
all
agree
HBC
muongozo
wa
ma-mc
kamati
kuu
ya
wanga
imebi
HBC,
the
guide
of
MCs,
the
central
committee
of
the
light
is
broken
Jina
langu
linavuma
kwenye
mitaa
My
name
is
buzzing
in
the
streets
Jina
langu
lina
hadhi
ya
kisupa
staa
My
name
has
the
status
of
a
superstar
Jina
langu
linaongeza
idadi
ya
maadui
My
name
increases
the
number
of
enemies
Wengine
nawajua
wengine
siwatambui
Some
I
know,
some
I
don't
recognize
Jina
langu.kwikwi
eyo
J
tunakuzimia
My
name...
Quick!
Hey,
J,
we're
crazy
for
you
Jina
langu.J
alosto
ameshazeeka
My
name...
J
Alosto
is
already
old
Joseph
Haule
mc
shupavu
wa
mitulinga
Joseph
Haule,
the
powerful
MC
of
Mitulinga
Mchawi
wa
rhymes
mti
mkavu
The
wizard
of
rhymes,
the
dry
tree
Оцените перевод
Оценивать перевод могут только зарегистрированные пользователи.
Авторы: Joseph Haule
Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.