Rayvanny - Zezeta текст песни

Текст песни Zezeta - Rayvanny



Baby mooh
Nifanye big G unitafune
Ama niwe sindano
Nawe uwe uzi nguo nifume
Amaniwe ndoo
Uwe maji yangu na wanune
Nifanye kucha
Kama ukiwashwa mi nikukune
Sema mama
Niweduka la vipodozi
Nikuvutie kwa kila kitu
Chumbani uwe simu
Unalia hata nikiku beep
Nisimame kama kinyozi
Nikikunyoa unanisifu
Niwe godoro na shuka
Nilale na wewe kila usiku
Shika funguo gari ya bosi wangu
Kwako zezeta zezeta
Niko radhi nifunge ule wewe
Mimi zezeta zezeta
Au unataka hata nyumba ya baba yangu
Kwako zezeta zezeta
Kifaranga nibebe kama mwewe
Mimi zezeta zezeta
Mama sitaki paka na panya
Vita za nini
Mi nataka niwe mafuta
Ujipakaze kote mwilini eeh
Ama niwe taulo kanga laini
Ukioga ninakufata
Kutoka juu mpaka kwa chini
Maashallah
Ulivyo mwenzako taabani
Naeshimu chumba
Siendi varandani
Tena sikufanyi vocha
Soko dukani
Nikutumbie mchumba
Nikutupe jalalani
Sema mama
Niwe duka la vipodozi
Nikuvutie kwa kila kitu
Chumbani uwe simu
Unalia hata niku-beep
Nisimame kama kinyozi
Nikikunyoa unanisifu
Niwe godoro na shuka
Nilale nawe kila usiku
Shika funguo gari ya bosi wangu
Kwako zezeta zezeta
Niko radhi nifunge ule wewe
Mimi zezeta zezeta
Au unataka hata nyumba ya baba yangu
Kwako zezeta zezeta
Kifaranga nibebe kama mwewe
Mimi zezeta zezeta
Shika funguo gari ya bosi wangu
Kwako zezeta zezeta
Niko radhi nifunge ule wewe
Mimi zezeta zezeta
Au unataka hata nyumba ya baba yangu
Kwako zezeta zezeta
Kifaranga nibebe kama mwewe
Mimi zezeta zezeta
Mashilawadu wanyapia nyapia
Mashilawadu wananyatia nyatia
Mashilawadu wapate kutangazia
Mashilawadu kuwa makini mama
Mashilawadu wakudandia dandia
Mashilawadu vya watu kupakazia
Mashilawadu macho funika pazia
Mashilawadu kuws makini mama eeh



Авторы: Rayvanny


Rayvanny - Zezeta
Альбом Zezeta
дата релиза
12-05-2017

1 Zezeta




Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.