Текст песни Mazoea (Skillo) - Wakadinali
Usizoeane
na
mimi,
tusizoeane
nani
Hapana
leta
mazoea
hehehe
Nina
deni
ya
jamaa
ya
thao
ka
mbao
Atapata
thao
na
promise
kibao
Ataona
madharau
hajui
ye
angalau
Kesi
yake
haijainvolve
makarao
Kitu
sipendi
ni
kuzoeana
nao
Mgumu
kulipa
deni
CRB
wananinauwo
Nikiitisha
beer
we
dish
ya
gizo
Pizza
ya
kulipiwa
utatiwa
mimba
Aah
tusizoeane
nani
tumia
doh
zako
nitarefund
Hizo
ndio
zako
basi
tuelewane
(sasa)
Ni
shilingi
ngapi,
ni
masaa
mangapi?
Mtakuja
wangapi,
home
ama
away?
Whom
do
I
pay?
Usiniite
bae
na
namba
usinipe
Ni
za
kihunire
usilete
zibedeshe
Ju,
mazoea
huleta
tabu
(tabu)
Na
tabu
huleta
tabu
bana
eh
Mazoea
huleta
tabu
(tabu)
Na
tabu
huleta
tabu
bana
eh
Tusizoeane
nani
(pan
taka)
Usizoeane
na
mimi
(hapan
tambua)
Tusizoeane
nani,
hapana
leta
mazoea
Si
mnanishangaza
ati
natakaa
Niwachunie
ganja
na
zigi
kadhaa
Si
mngejipanga
na
nikikata
Nanunuanga
mi
sijapanda
(no
way)
Tusizoeane
nani,
watiaji
na
pia
machaji
Kwa
uhalif
hakunanga
arif
Usinipe
spliff
ka
si
mi
nimei
sanif
Usizoeane
na
mimi
usichunguze
kile
nina
amini
Ama
kile
ninafikiria
akilini,
masimu
mingi
ni
za
nini
Na
we
si
bibi
ama
mchumba
wa
siri
Maswali
mingi
ni
za
nini
Haijalishi
masikini
tajiri,
kitu
sitaki
ni
kuzoeana
na
mimi
Hapana
leta
mazoea
ati
naleta
na
we
unadoea
Kuombe
fedhe
ikiezekana
chorea
Hapana
leta
mazoea
ati
naleta
na
we
unadoea
Kuombe
fedhe
ikiezekana
chorea
Mazoea
huleta
tabu
(tabu)
Na
tabu
huleta
tabu
bana
eh
Mazoea
huleta
tabu
(tabu)
Na
tabu
huleta
tabu
bana
eh
Tusizoeane
nani
(pan
taka)
Usizoeane
na
mimi
(hapan
tambua)
Tusizoeane
nani,
hapana
leta
mazoea

1 Mtembezi (Skillo) (feat. Domani Munga & Riddiq)
2 420247365(Skillo) (feat. Scar Mkadinali)
3 Kawaida (Skillo)
4 Still I (Skillo)
5 Pharmaceuticals (Skillo)
6 Kesi Baadae (Skillo) (feat. Sewersydaa)
7 Vita (Skillo) (feat. Sewersydaa)
8 Mazoea (Skillo)
9 Gicha (Skillo) (feat. Skanka)
10 Mandem (Skillo) (feat. Scar Mkadinali)
Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.