Текст песни Wale Wale (feat. Diamond Platnumz) - Zuchu , Diamond Platnumz
Sisi
ndo
wale
wale,
mlio
tukataa
Mkasema
hatufiki
mbali
(na
Simba
lama)
Sasa
tumejipata
(ni
Zuchu
chu-chu-chu)
He-he-he
(ay-ayo
Trone)
Ay
wewe
Trone,
hee!
Aya-ya-ya-ya,
ulivyonipiga
juju
Ulidhani
nitagwaya,
hukujua
nina
Mungu
Aya-ya-ya-ya,
eti
nile
chuku-chuku
Mambo
yangu
yako
sawa
Nishashiba
kuku-kuku
Hee!,
chote
ni
choyo
na
sijali
Ndio
kina
waumiza
Na
Mungu
wangu
(na
Mungu
wangu)
Yu
ngangari,
cheza
nami
atawamaliza
Karibu,
ntanunua
gari
nakuja
kwenu
Itaneni
muambizane
mje
mjae
(mama
Suma)
Maisha
yangu
ya
bei
ghali
kuliko
yenu
Mi
ndo
yule
mlikatazwa
msicheze
nae
Sisi
ndo
nani?
Sisi
ndo
wale
wale
(sisi
ndo
wale
wale)
Mlio
tukataa
(mlio
tukataa)
Mkasema
hatufiki
mbali
(jamani
Mungu
si
athumani)
Sasa
tumejipata
(aah
hee)
Sisi
ndo
wale
wale
(sisi
ndo
wa-wa-wa-wa)
Mlio
tukataa
(mlio
tukataa)
Mkasema
hatufiki
mbali
(jamani
Mungu
si
athumani)
Sasa
tumejipata
(ah!)
Ooh,
eti
ntakufa
(kwani
we
utaishi
milele?)
Nilipozitafuta
(mbona
mliniacha
mwenyewe?)
Hizo
chuki
na
pupa
oh
(ndo
zinofanya
mchelewe)
Oh,
kwa
kushinda
kutwa
(roho
mbaya
na
viherehere)
Aah,
na
mwaka
huu
mtaisaga
rumba
(eh
kwanini?)
Oh,
maana
nimemuomba
Mungu
mpaka
nyumba
(aah)
Na
mjiandae
kwa
sare
za
ndoa
sio
uchumba
(eh
waganga)
Waganga
wenu
wambieni
wakoleze
ndumba
Aah,
oh
binadamu
ni
wa
ajaabu
sana
('jaabu
sana)
Wana
maneno
ya
kukatisha
tamaa
Binadamu
ni
wa
ajaabu
sana
Wana
matendo
ya
kuumiza
sana
Walisema
eti
nina
nuksi
ya
senti
(kapachuka)
Nyota
yangu
ya
boda
ya
kwao
ya
jeti
(ooh)
Nani
wa
kunidate
(mmh),
bega
kama
kenchi
(ooh)
Kudadeki
zenu
'asa
mbona
mnakechi
Oh,
sisi
ndo
wale
wale
(sisi
ndo
wale
wale)
Sisi
ndo
wale
wale
Mlio
tukataa
(mlio
tukataa)
Mkasema
hatufiki
mbali
(jamani
Mungu
si
athumani)
Sasa
tumejipata
(aah,
hee)
Sisi
ndo
wale
wale
(sisi
ndo
wa-wa-wa-wa)
Mlio
tukataa
(mlio
tukataa)
Mkasema
hatufiki
mbali
(jamani
Mungu
si
athumani)
Sasa
tumejipata
Kamix
lizer

Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.