Ethic Entertainment - Pandana Lyrics

Lyrics Pandana - Ethic Entertainment



Outta Umojamaica
Prrrrr Kang Kang
Banana, ninayo bas
Tunabakana, hapo nyuma na sidika
Mnafanana, maana kila day bana
Unaitangaza, katangaze basi baby
Si hupandana, panda panda
Si hupandana, katangaze basi baby
Si hupandana, panda panda
Si hupandana eeh
Madibala nazimanya, nika niko ndonyo
Nikidungi nimepaka na itachoma mboto
Nikidudu nikinyanya napoteza toko
Zikidundi, zikinyanya nazipeleka soko
Kando ya tapo, machapo mpaka itoe dodo
Pigwa finger na kidole kimejaa mangoto
Nayo theo hapana na lock, tunapiga koto
Sampe gwara lock, tupa ka ana joto
Banana, ninayo bas
Tunabakana, hapo nyuma na sidika
Mnafanana, maana kila day bana
Unaitangaza, katangaze basi baby
Si hupandana, panda panda
Si hupandana, katangaze basi baby
Si hupandana, panda panda
Si hupandana eeh
Shandana
Kaa ni mblaina inabidi aweke lawama
Toka teke cheki banger basi ulala
Toto yako iyeke fiti nitaikulala
Under water nakwambia 'shaitangaza
(Mmmh hhhmmm)
Nakwambia 'shaitangaza
Ni nare come na shadda tutaiwashana
Pale zabe macho zangu zimenyanyana
Iko ready imesteady na ni
Banana, ninayo bas
Tunabakana, hapo nyuma na Sidika
Mnafanana, maana kila day bana
Unaitangaza, katangaze basi baby
Si hupandana, panda panda
Si hupandana, katangaze basi baby
Si hupandana, panda panda
Si hupandana eeh
Mpate ametii ako lit
Bila pupa atawafeast
Kwanza akianza story za matapa tapa ndani ya boo
Donda kumdandia atamdandia mpaka kesha
Ati nguna anadaisha mboko bigi kaa amepewa
Donda anadandia ndae ora ora don don
Donda anachangia ngwai oya oya don don
Alafu anakazia ngwai oya oya don don
Banana, ninayo bas
Tunabakana, hapo nyuma na sidika
Mnafanana, maana kila day bana
Unaitangaza, katangaze basi baby
Si hupandana, panda panda
Si hupandana, katangaze basi baby
Si hupandana, panda panda
Si hupandana eeh



Writer(s): Morris Kobia Lyria


Ethic Entertainment - Pandana - Single
Album Pandana - Single
date of release
09-12-2019




Attention! Feel free to leave feedback.