Harmonize - Mtaje Lyrics

Lyrics Mtaje - Harmonize



Big boy
Mmmmh mmhh
Anakasura ka upolee
Miaka nenda rudi hazeeki
Tena ni mtu wa Gym Gym
Shepu ndo linanipa wazimu zimu
Na tattoo nimchoree
Ila ndo hivo tena hapendekiii
Amakweli mapenzi hayana mwalimu
Wengine hata kuniona ni adimu
Hivi tuseme anangekewa
Ama nyota yake kali ananizidi
Ama mjini nimechelewa
Mbona wengine wanamponda wanamwita bibi
Nilianza kumuona mapema
Enzi za mabanda ya sinema
Alikuaga ni rafiki na wema she's so beauu
Acha wanione mshamba tuu
Tuta huwezi kulipigia hona
Umri nao ni namba tuu
Kinacho niuma anajifanya Haoni
Kama unamjua (mtajee)
Nani anemjua (mtajee)
Kama unamjua (mtaje)
Avimbe kichwa ajisifie
Basi kama unamjua (mtaje)
Kama unamjua (mtajee)
Kama unamjua (mtaje)
Avimbe kichwa ajisifie (mmh mmh mmh)
Mmh! Anaelenga kwa rula
Sikuzote ndo apataye
Mwambieni mwanangu paula
Minampenda mamae
Tena ni fundi wa kuchanua aah
Utasema samaki Ng'onda
Hapo ndo nikagundua ah
Nini kiliwaliza makonda
Wa dala dala dala
Mi nashindwa kulala lala lala
Hana mbadala dala dala
Anaitwa ka ka eeeh
Hakika ye ndo kiboko yangu
Jua likiwaka ikinyeshaaaa
Utembo na ujeshi wangu
Getini kwake nilikesha
Mtihani wa mapenzi hakuna aliyefuzu
Sawa unywe pombe na useme una Udhu
Na mtu ukishapenda unakua Zuzu
Eti nawaza aje kua mama zuzu
Kama unamjua (mtaje)
Kama unamjua (mtaje)
Kama unamju (mtaje)
Mmh! Avimbe kichwa ajisifie
Eeeh, big boy na migoo wanamjua
Cha upole anamjua
Anko Duke Naye anamjua
Sara boy na tembo wanamjua
Elizakiel wamipango anamjua
Kigipopa mzambele wanamjua
Eeh eeh eeh (mixed by sonic)



Writer(s): Rajab Kahali


Harmonize - High School
Album High School
date of release
05-11-2021




Attention! Feel free to leave feedback.