Otile Brown - Kosea текст песни

Текст песни Kosea - Otile Brown



Mmh hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unaninyanyasa sana
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unanitesa sana (Ooh oh oh)
Sometimes nafanya zile vitu sipendi
Ili nikuridhie
Ila ndo bado nanong'ona, yeah yeah
Natamani ardhi ipasuke, inimeze
Maana mwenzio nimechoka
Mwenyezi Mungu niwezeshe
Bora iliponifika inisepe
Kama umenichoka unieleze beiby
Mwenyezi Mungu niwezeshe
Bora iliponifika inisepe
Kama umenichoka unieleze beiby
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unaninyanyasa sana
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unanitesa sana
(Vicky pon dis)
Elewa sishindani nawe
Sibishani na wewe, mama utakalo na liwe
Elewa sishindani nawe
Sibishani na wewe, mama utakalo na liwe
Beiby niende kushoto uende kulia, kama hatutakani
Nimekuvumilia, ila ni kama hatuendani
Kila siku vitimbi, utadhani vioja mahakamani
Hapa ilipotimia kwa hili penzi nishapoteza imani
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unaninyanyasa sana
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unanitesa sana
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unaninyanyasa sana
Hujawai kukosea, sijawahi kuwa sawa
Ooh beiby, unanitesa sana



Авторы: Jacob Obunga


Otile Brown - Just In Love
Альбом Just In Love
дата релиза
03-06-2020




Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.