Songtexte Mama - Melody
Ololololooo
Ololololooo
Oiyee
iyeeeeee
(Dully
bizzy
touch)
Sasa
basiii,siwezi
tenaaa
Nishakuwa
zoba
maji
kujaa
maji
kutookaa.
Akili
imesinyaaa,Sina
pakwendaa
Ni
sawa
na
mshumaa
umekumbwa
na
upepo
na
ghafla
ukaziimaa
Nilipata
peesa
nikatumia
nikasahau
nyumbaanii
Na
marafiki
wakatanua,sasa
kiko
waapi
×2
Kukicha
ni
nyodo
ni
nyodo
ni
nyodo
Nakesha
na
Gongo
na
gongo
na
gongo
Maji
ya
shingo
ya
shingo
ya
shingo
nishachoka
oohh!!!
Nakesha
kwa
lindo
kwa
lindo
kwa
lindoo
Mimacho
ni
kodo
ni
kodo
ni
kodo
Mimaji
ya
shingo
ya
shingo
ya
shingo
unisameeh
mamaaa
eeehh!!!
{{Chorus}}
Nisameeh
mama(Unisameeh
nimekosaaa)
Nisameeh
mama(Ila
sio
sili
me
nakondaa)
Nisameeh
mama(Sili
silali
nakupeendaa)
Nisameeh
mama(Ila
sio
sili
nimekosaa))
BEAT.
Nimekuwa
soo
mtaani
sina
pakweenda
mm
Aibu
ni
nyingi
machoni
Sasa
nifaanye
nn×2
Moyo
najikaaza
najipa
matumainii
nisiliee
Kutwa
nalalaama,Usiku
kuchaa,Mama
unisameeh
Eti
naye
KOVU,Ananitenga
hanitakiii
Mke
nay
pia,Ilipoisha
pesa
naye
akanicheat
Masikaniii
wananitenga
hawanitaaki
Eeh
mola
wangu,furaha
yangu
umeiweka
wapi
Kukicha
ni
nyodo
ni
nyodo
ni
nyodo
Nakesha
na
gongo
na
gongo
na
gongo
Maji
ya
shingo
ya
shingo
ya
shingo
Nimechoka
oohh!!!
Nakesha
na
gongo
na
gongo
na
gongoo
mimacho
ni
kodo
ni
kodo
Ni
kodo
maji
ya
shingo
ya
shingo
ya
shingo
unisameeh
mama
eeh
Nisameeh
mama(nisameh
nimechokaa)
Nisamehe
mama
(ila
sio
siri
me
nakondaa)
Nisameehe
mama(Sili
silali,Nakupeenda)
Nisamehe
mama
(ila
sio
sili
me
nakondaa)
Nisameehe
mamaa...
Nisamehe
mama...
BEAT

Attention! Feel free to leave feedback.