Bahati - Siku Ya Kwanza Lyrics

Lyrics Siku Ya Kwanza - Bahati



Ukaniahidi nikikupata ntakuwa mwana. .
Na ikawa wazi mimi na wewe hatutachaana na chako ni changu
Na changu ni chako. .ukanengha nguvu zangu, kachukua hisia zangu
Nikiwa hivi nikizunguka kusaka penzi,
Kwa ukarimu ukaniita eti kipezi,
Na mkono wako ukaunyoosha nikukeeti we, ili
Kunipa mi nia yako tangu tumbonI
Na ahadi nyingi kaniachia
Tabasamu kanimwagia weeh
Naskia ilikuwa karamu kubwa kukata ni shoka
Naskia ilikuwa hatua kubwa kwa yangu maisha,
Naskia malaika waliimba shangwe na zara, naskia ooh Naskia
Nakazana kufika ulikonijengea weh
Ndio unieleze kuhusu hio, hio



Writer(s): bahati bahati


Bahati - Mama
Album Mama
date of release
20-02-2014




Attention! Feel free to leave feedback.