Lyrics Achia Njia - Darassa
We
unga
unga
mitambo
mi
niko
hewani
Mambo
yanaendaga
na
fani
Funga
virago
your
job
is
done
Bahari
ikichafuka
inakuja
tsunami
Usipoelewa
somo
watu
wanakupiga
Eeeh.
Unauliza
majibu
Kupata
heshima
unachimba
deep
Ila
ukitaka
dharau
ni
very
cheap
Rudisha
akili
uliko
azima
Huwezi
kakutanisha
milima
Tafuta
kitu
cha
kujipima
Ukishindana
na
pombe
unataka
kuzima
Weka
ushindani,
fine
me
I
don′t
mind
Unauza
sura
mtaani
people
don't
buy
And
you
know
what?
Sema
bye
bye
Haukai
disco
limeingia
masai
Achia
njia.
Achia
(achia)
njia
Achia
njia.
Achia
(achia)
njia
Achia
njia.
Achia
(achia)
njia
Eeh.
Achia
njia.
Achia
(achia)
njia
Unashangaa
mataa
Biashara
hailipi
unakataa
Hapana
bana,
me
I
don′t
like
that
Usinijaribu
kama
nguo
ya
kuvaa
Na
break
it
down
Hhaaa.
Macho
juu
macho
chini
chini
Vipi
umepoteza
Discipline
Unachekesha
kama
Mr.
Bean
Acha
kuchimba
watu
chimba
madini
Huo
uchizi
umekuanza
lini?
Au
umefuata
mambo
ya
mjini?
Heee.
Uliwaza
nini?
Ukaacha
viwanja
ukaja
kucheza
relini
Eeeh.
Achia
njia
Achia
(achia)
njia
Achia
njia.
Achia
(achia)
njia
Achia
njia.
Achia
(achia)
njia
Eeh.
Achia
njia.
Achia
(achia)
njia
Achia
njia.
Achi
(achia)
njia
Attention! Feel free to leave feedback.