Denno - Mbona Lyrics

Lyrics Mbona - Denno



Tarehe kama saba mwezi wa saba
Miaka zimepita kumi na saba
Humu duniani nishajipata
Mimi, mimi, niko nilivyo
Sina baba wala mi sina mama
Siwezi enda mbali, mi najificha
Nachoka kujificha, najitokeza
Mimi, mimi, niko nilivyo
Nafunga virago vyangu, naenda mbali
Sijui nifanye nini, niende wapi
Nifuate nani mimi, nimwite nani
Mimi mimi niko nilivyo
Sioni mbona nyinyi mwanikimbia
Sioni mbona nyinyi mwanidharau
Sioni mbona nyinyi mwaniepuka
Mimi mimi niko nilivyo
Mbona? Mbona? Mbona?
Mbona? Mbona? Mbona?
Mbona? Ahh mbona?
Mbona? Mbona? Mbona?
Mbona? Mbona? Mbona?
Mbona? Ahh mbona?
Wakati Mungu aliniumba
Alipanga mpango wake
Kwamba mimi niwe jinsi nilivyo
Mbona, sasa hamnidhamini?
Mwaniona kama sifai
Sikuchagua niwe jinsi nilivyo
Nikitembea barabarani, macho mmenikazia
Mbio mbio mwaniondokea, mimi ni kama nyinyi
Mbona? Mbona? Mbona?
Mbona? Mbona? Mbona?
Mbona? Ahh mbona?
Mbona? Mbona? Mbona?
Mbona? Mbona? Mbona?
Mbona? Ahh mbona?
Kwanini mwaniepuka
Na mimi ni kama tu wewe
Na mimi ni kama tu wewe
Kwanini mwanidharau?
Kwanini mwanidharau?
Na mimi ni kama tu wewe
Na mimi ni kama tu wewe
Kwanini wanikimbia?
Kwanini wanikimbia?
Na mimi ni kama tu wewe
Na mimi ni kama tu wewe
Kwa nini? Kwa nini?
Mbona? Mbona? Mbona?
Mbona? Mbona? Mbona?
Mbona? Ahh mbona?
Mbona? Mbona? Mbona?
Mbona? Mbona? Mbona?
Mbona? Ahh mbona?
Mbona? Mbona? Mbona?
Mbona? Mbona? Mbona?
Mbona? Ahh mbona?
Mbona? Mbona? Mbona?
Mbona? Mbona? Mbona?
Mbona? Ahh mbona?




Denno - Naona Mbali
Album Naona Mbali
date of release
11-01-2015




Attention! Feel free to leave feedback.