Jua Cali - Ngeli Ya Genge Lyrics

Lyrics Ngeli Ya Genge - Jua Cali



Hapa tunacheza na maneno
Ngeli ni ya genge
Na andika hii verse ka nikona njaa
Naenda kupika bila makaa
Na waita na mnakataa
Mnasema kanisa ni ya mavijana
Kushiba ni baada ya salaa
Kuiba nayo siku hizi ni balaa
Utageuzwa kima nyama ya kusagaa
Pika iive tunamangaa
Skuma chumvi na ka ugangaa
Chuma ngumi teke kadhaa
Boxer vumbi na ma kambaa
Toka nyuki asali changaa
Koma kumi utashangaa
Ama stima zitazimaa
Tuende kwa kina farida
Jieke hina kwa mafinga
Hapa tunacheza na maneno
Ngeli ni ya genge
Nataka ukae poa ka kina
Fatia halima na eva
Watoto wazuri ku&%
Ndoto nzuri uisha
Ka ume&$ zote kabisa
Ukasanya mote ukampatia
Bahati mbaya ukashikwa
Mabati waya ukapigwa
Mashati za wanga zikaishia
Chukua zengine uanze kupima
Vua pengine ni ya peter
Beste yangu mtu wa shida
Hii mete ni yangu we tuliza
Unadoea ki fisi na hauja alikwa
Unapokea dishi na haijapikwa
Chakula ni mbichi na haija ivaa
Tuma sista eastleigh ma njivaa
Lakini chunga vile atajivaa
Hapa tunacheza na maneno ngeli ni ya genge
Ma mini chuja na adidas
Ma Gstring shuka na ma%a
Ma mbuyu kwao ni kushangaa
Dudu zao zina amkaa
Njugu kibao wanatafunaa
Mamatha uku wanashtuka
Hanya huyu utajuta
Kama sumu inaua
Maziwa iko tutakunywa
Kama njumu zinatupa
Kabisa tutakataa kuvua
Matope kila mahali panguza
Pole pole ngazi tunashuka
Pole ka kazi yasumbua
Mwisho ganji itaingia
Vitisho wangapi wataskia
Genge damu eeh
California Au sio
Hapa tunacheza na maneno ngeli ni ya genge
END



Writer(s): Ulopa Ngoma


Jua Cali - Ngeli Ya Genge
Album Ngeli Ya Genge
date of release
13-08-2015




Attention! Feel free to leave feedback.