Nadia Mukami - Roho Mbaya Lyrics

Lyrics Roho Mbaya - Nadia Mukami



Nisha kuwa na rafiki zamani
Nikamwambia siri zangu za ndani
Akaziweka hadharani
Tena nikakuwa na rafiki wa kufa kuzikana
Pale pesa zilipokwisha naye akanikwepa
Nishachumbia mpenzi wangu
Nilipopata mimba akasema sio yangu
Leo mi nacheka na ninakula nao
Ila wananitendea
Ninajenga kwao ninaimba nao
Ila wamenigeukia
Mi nacheka na ninakula nao
Ila wananitendea
Ninajenga kwao ninaimba nao
Ila wamenigeukia
Roho mbaya, ila tu naishi nao wee
Roho mbaya, hata wengine damu zetu wee
Roho mbaya, ila tu naishi nao wee
Roho mbaya, hata wengine damu zetu wee
Wameniwekea mitego
Nisisonge mbele
Wanatamani vyangu viwe vyao
Wananionea gere
Wamengoja nisote wacheke
Nisote wasema
Wanangoja nishuke mziki waseme
Ooh waseme
Leo mi nacheka na ninakula nao
Ila wananitendea
Ninajenga kwao ninaimba nao
Ila wamenigeukia
Mi nacheka na ninakula nao
Ila wananitendea
Ninajenga kwao ninaimba nao
Ila wamenigeukia
Roho mbaya, ila tu naishi nao wee
Roho mbaya, hata wengine damu zetu wee
Roho mbaya, ila tu naishi nao wee
Roho mbaya, hata wengine damu zetu wee
Cheza kama umepata kazi wee
Cheza wakuone umenunua gari
Cheza kama umepata kanyumba wee
Cheza kama una pesa za kwako
Roho mbaya, ila tu naishi nao wee
Roho mbaya, hata wengine damu zetu wee
Roho mbaya, ila tu naishi nao wee
Roho mbaya, hata wengine damu zetu wee




Nadia Mukami - Roho Mbaya
Album Roho Mbaya
date of release
16-07-2021




Attention! Feel free to leave feedback.