Lyrics Basi - Otile Brown
Nahisi
siko
sawasawa
kunakitu
kinakosa
Kumbe
leo
sijamuona
(I
wonder
if
you
feel
the
same
way)
Basi
naugua
na
siumwi
Chakula
kooni
hakipiti
na
silali
Hata
kwa
dawa
za
usingizi
(I
wonder
if
you
feel
the
same
way)
Na
macho
yangu
yanatamani
kukuona
Nafsi
yangu
inakukosa
sana
Na
moyo
wangu
najawa
hofu
na
uwoga
Mali
yangu
wasije
wakanipora
Na
moyoni
nakosa
Amani
sina
Fikra
zangu
zinakwenda
mbali
kabisa
Ama
jiji
lishaa
ninyang'anya
we
wanguIla
niwie
radhi
kama
Nakuhukumu
vibaya
elewa
yote
kisa
Kisa
mama
Tunatoka
mbali
nyuma
ukumbuke
Tunatoka
mbali
chunga
usiniumize
Tunatoka
mbali
nyuma
ukumbuke
Tunatoka
mbali
usiniache
nijifie
Maana
nakupenda
mpaka
basi
ujue
Ujue
mama,
nakupenda
mpaka
basi
Penzi
langu
unanihifadhia,
Heri
ungekuwa
sincere
Oh
Je
unaniwazanga,
Maana
huku
nakufikiria
Mi
nakupenda
kipimo
sina,
Ni
bora
uwe
macho
Usije
niletea
walosaz
Kukupenda
jukumu
langu,
sheria
kuu
Kwenye
katiba
ya
penzi
langu
Je
uko
uliko
uko
vizuri?
Mbona
simu
hushiki?
Hivi
uko
na
nani,
mnafanya
nini?
Wasi
wasi
ninao
Tunatoka
mbali
nyuma
ukumbuke
Tunatoka
mbali
chunga
usiniumize
Tunatoka
mbali
nyuma
ukumbuke
Tunatoka
mbali
usiniache
nijifie
Maana
nakupenda
mpaka
basi
(Ujue)
Ujue
mama,
nakupenda
mpaka
basi
Waadhi
na
wasaha
ulionipa
nazingatiaIla
nawe
usije
jisahau,
Ukashawishiwa
Na
watanashati
na
washika
dau
Ukanisahau
Sije
nisusa
utaniacha
na
mengi
Bana
nitalia
nitalia
nitalia
nitalia
nitalia
nitalia
nitalia
mama
Ooh
mimi
nitalia
nitalia
nitalia
nitalia
nitalia
nitalia
nitalia
mama
Ukinizuga
nitalia
nitalia
nitalia
nitalia
nitalia
nitalia
nitalia
mama
Ukinitenda
mama
nitalia
nitalia
nitalia
nitalia
nitalia
nitalia
nitalia
mama
Tunatoka
mbali
nyuma
ukumbuke
Tunatoka
mbali
chunga
usiniumize
Tunatoka
mbali
nyuma
ukumbuke
Tunatoka
mbali
usiniache
nijifie
Maana
nakupenda
mpaka
basi
ujue
ujue
ujue
Ujue
ujue
Ujue
Ujue
mama,
nakupenda
mpaka
basi

Attention! Feel free to leave feedback.