Willy Paul - Wema Lyrics

Lyrics Wema - Willy Paul



Oooh woooh
Mungu wangu ni mkuu
Oooh woooh
Pozeeee
Nyota yangu imengaa
Asante mola
Mambo yamebadilika
Asante mola
Sio kwa nguvu zangu mi
Ni kwa nguvu zako wewe tu
Ingekua ni mwanadamu
Angenionea
Ingekua ni mwanadamu
Angenionea
Ulivyo nibariki na wenzangu pia uwabariki
Ulivyonionekania na wenzandu pia uwaonekanie
Mungu wangu we ni mwema
We ni mwena, we ni mwema
Ukiahidi unatenda unatenda ulivynitendea
Mungu wangu we ni mwema
We ni mwena, we ni mwema
Nimeona mkono wako
Maishani mwangu
We ni mwena
Nimetua mizigo kwako nimepumzika
Nimeitua msalabani nimepumzika
Kwako nimetulia mie
Umenifurahisha
Kuna amani sikupata kwingi ila kwako
Kuna wema kuna favour
Ndani yako
Mungu wangu msaada wangu ni wee
Mungu wangu ujasiri wangu ni wee
Mungu wangu we ni mwema
We ni mwena, we ni mwema
Ukiahidi unatenda unatenda ulivynitendea
Mungu wangu we ni mwema
We ni mwena, we ni mwema
Nimeona mkono wako
Maishani mwangu
We ni mwena
Ni kwa wena yote unayotenda ni kwa wema
Ni kwa wena yote unayotenda ni kwa wema
Sikuwahi jua kijana wa mathare wa salome
Ange heshimika
Mungu wangu ni fire fire
Amenipa maisha bomba yani fire fire
Nimetambua heri kukuamini kuliko kukuelewa
Nimetambua heri kukuamini kuliko kukuelewa
Niruhusu nikwite kichuna ulichuna shida zangu
Niruhusu nikwite mpenzi ulinipa mapenzi
Mungu wangu we ni mwema
We ni mwena, we ni mwema
Ukiahidi unatenda unatenda ulivynitendea
Mungu wangu we ni mwema
We ni mwena, we ni mwema
Nimeona mkono wako
Maishani mwangu
We ni mwena
Ni kwa wena yote unayotenda ni kwa wema
Ni kwa wena yote unayotenda ni kwa wema
Nakumbuka mi nikiwa houseboy
Ulisema tuliza my boy
Ata kama hizi mashida zilini follow
Back to back mungu wangu nlikuamini
Ni kwa wena yote unayotenda ni kwa wema
Ni kwa wena yote unayotenda ni kwa wema
Because
Ni kwa wena yote unayotenda ni kwa wema
Ni kwa wena yote unayotenda ni kwa wema



Writer(s): Wilson Ouma


Willy Paul - Wema
Album Wema
date of release
15-06-2020

1 Wema




Attention! Feel free to leave feedback.