Добавлять перевод могут только зарегистрированные пользователи.
Nilipaa
sasa
natua
I
flew
and
now
I
land
Siri
ya
moyo
The
secret
of
the
heart
Na
siri
ya
moyo
And
the
secret
of
the
heart
Anayeijua
mwenye
The
one
who
knows
it
has
Mwenye
ujasiri
wa
The
courage
to
Kutunza
nafanya
Keep,
I
do
Ninachodhani
ni
What
I
think
is
Sahihi
kitachotokea
Right,
what
will
happen
Nitajua
mbele
I
will
know
ahead
Wanasema
mwanaharamu
They
say
a
bastard
Haijui
laana,
kashalaanika
Doesn't
know
a
curse,
he's
messed
up
Nasikitika
kuwa
haujui
I'm
sorry
you
don't
know
Kama
naonekana
ka'
If
I
look
like
a
Kondoo
kwa
mchungaji
Sheep
to
the
shepherd
Lakini...
lakini
kwa
ndani
But...
but
inside
Mi'
ni
chui
mama
I'm
a
mother
leopard
Kwa
mfano
nakuita
mpenzi
For
example,
I
call
you
honey
Na
tabasamu
zuri
wakati
With
a
beautiful
smile
when
Najua
kuwa
sikupendi
I
know
you
don't
love
me
Kuitoa
hii
siri
ndo'
siwezi
I
can't
reveal
this
secret
Kwahiyo
nitakudanganya
So
I
will
lie
to
you
Mpaka
ifike
siku
niutimize
Until
the
day
I
fulfill
Huwa
nawaza
nikuweke
I
wish
I
could
make
you
Ufahamu,mtambue
Understand,
realize
Kuwa
mpo
wengi
That
there
are
many
of
you
Na
lengo
niwateke
And
the
goal
is
to
take
you
Ili
mpeleke
salamu
So
that
you
may
take
greetings
Masikini
mrembo
Poor
beautiful
one
Nashangaa
jinsi
unavo'ngoja
I
wonder
how
you're
waiting
Pete
kwa
hamu
For
a
ring
eagerly
Vile
hunioni
kwenye
When
you
don't
see
me
in
Makundi
ya
baa
Groups
of
bars
Na
bahati
nzuri
haujawahi
And
luckily
you've
never
Kusikia
nikizushiwa
uzushi
Heard
of
me
being
falsely
accused
Kumbe
unampigia
mbuzi
gitaa
Remember,
you're
playing
the
guitar
Sometimes
unanisongea
nguna
Sometimes
you
make
me
angry
Au
wali
ukidhani
mi'
najali
ilihali
Or
you
think
I'm
hungry
yet
Sina
habari,
sina
hisia
siwazi
I
don't
care,
I
have
no
feelings,
I'm
not
clear
Hata
kukuonea
huruma
Even
to
pity
you
Na
sibadili
dhambi
hata
And
I
won't
change
my
sin
even
if
Mbingu
ikisogea
nyuma
Heaven
moves
back
Nashiriki
nawe
nyakati
I
share
moments
with
you
Twitter
mpaka
instagram
Twitter
to
Instagram
Picha
unani-hashtag
drunk
in
love
Pictures
you
hashtag
me
drunk
in
love
Nanunua
brand
za
gharama
za
Buying
expensive
brands
of
Simu
ya
ghali
breakfast
Expensive
phone,
breakfast
Haimaanishi
kuwa
Doesn't
mean
that
Tunaianza
safari
We
are
starting
the
journey
Nataka
nikuandalie
maumivu
I
want
to
prepare
you
for
pain
Ili
kila
unachokiona
So
that
everything
you
see
Kiwe
kinafanya
unikumbuke
Makes
you
remember
me
Inaitwa
zuia
nanga
kabla
It's
called
stop
the
anchor
before
Bado
haijang'oa
It's
uprooted
Maana
haujaheshimu
Because
you
haven't
respected
Mvua
kama
bado
hujaloa
Rain
when
it
hasn't
rained
yet
Kwa
huu
mchango
ninaotoa
With
this
contribution
I'm
making
Ndo'
unafanya
unazama
That's
why
you're
sinking
Zaidi
kiasi
unaiwaza
mipango
So
much
so
that
you're
thinking
about
plans
Jicho
la
tatu
hauna
You
don't
have
a
third
eye
Fungua
jicho
lako
la
pili
Open
your
second
eye
Utagundua
kila
ninachofanya
You
will
discover
everything
I
do
Ndo'
maana
haujaona
bado
That's
why
you
haven't
seen
yet
Wala
haupo
kwenye
Nor
are
you
in
Mpango
wa
pili
The
second
plan
Unaniletea
zawadi
toka
You
bring
me
gifts
since
Nilishawaacha
I
left
them
Na
walinichora
tattoo
And
they
drew
me
a
tattoo
Mi
sio
tunda
mama
I'm
not
a
fruit,
honey
Mama
mi'
kidonda
Honey,
I'm
a
wound
Utachelewa
kusonga
You'll
be
late
to
move
on
Ka'
bado
unaingoja
nafuu
If
you're
still
waiting
for
me
to
heal
Sherehe
ya
birthday
yako
Your
birthday
party
Kwenye
'temple'
ya
anasa
At
the
pleasure
temple
Umekuwa
'mental'
kwa
You've
become
mental
for
Huu
mwendo
ndo'
This
is
the
way
Umenasa
You've
been
caught
Kiasi
unahisi
huu
ni
upendo
You
think
this
is
love
Tukishiriki
tendo
tu
nakuacha
Once
we
make
love,
I'll
leave
you
Kichwa
changu
hichi,
kichwa
My
head,
my
head
Nitalala
na
wewe
na
I'll
sleep
with
you
and
Wewe
na
haifiki
jumapili
You
and
it
won't
even
be
Sunday
Nitakuwa
nimeshakuacha
I
will
have
left
you
Ah!
utanitafuta
Ah!
You'll
look
for
me
Kwenye
simu
ambayo
On
the
phone
that
Namba
nitakuwa
nishaibadili
I
will
have
changed
the
number
Utanitafuta
mara
mbili
You'll
look
for
me
twice
Mara
tatu
kisha
nne
Three
times
then
four
Utagundua
kurudi
You'll
find
that
going
back
Itang'ata
moyo
wako
Will
hurt
your
heart
Watu
maumivu
People,
pain
Hukujiandaa
kuyakabili
You
were
not
ready
to
face
it
Utanipamba
majina
ya
You'll
call
me
names
Nitakuwa
mbali
nishasafiri
I'll
be
far
away,
I'll
have
traveled
Nishasahau
utatunga
nahau
I'll
have
forgotten,
you'll
make
up
proverbs
Wakati
haukuwahi
kuutabiri
When
you
couldn't
predict
Utaumia
utashindwa
kusimulia
You
will
hurt,
you
will
not
be
able
to
tell
Utaniulizia
kwa
wanaonijua
You
will
ask
about
me
from
those
who
know
me
Hauna
tena
chako
You
have
nothing
left
Okota
vipande
vya
moyo
wako
Pick
up
the
pieces
of
your
heart
Nenda
zako
kaandike
Go
write
your
Kisha
watajua
wenzio
Then
your
other
friends
will
know
Wanafiki
watacheka
The
hypocrites
will
laugh
Wanaokujali
wataangua
kilio
Those
who
care
about
you
will
cry
Watakusindikiza
kulia
They
will
accompany
you
to
mourn
Watakupa
pole
wengine
watasema
They
will
give
you
a
shoulder,
others
will
say
Wanaume
wote
mbwa
All
men
are
dogs
Taswira
itazongwa
The
picture
will
be
burned
Picha
utazichoma
You'll
stab
the
pictures
Utanitukana
mara
mwana
You'll
call
me
names,
bastard
Haramu
mara
malaya
Then
whore
Rafiki
zako
wakuu
watakuwa
Your
best
friends
will
be
Filamu
na
riwaya
Movies
and
novels
Wimbo
niliokuimbia
The
song
I
sang
to
you
Kamwe
hautokukonga
Will
never
comfort
you
Utachoma
mkuki
moyoni
You
will
pierce
your
heart
with
a
spear
Kisha
kunyonga
Then
hang
yourself
Utaendelea
kungoja
You
will
keep
waiting
Utagundua
mvumilivu
You'll
realize
the
patient
Hali
mbivu
hiyo
Is
not
ripe
yet,
that
Methali
iliongopa
Proverb
was
wrong
Utagundua
ilikuwa
You
will
discover
it
was
Hii
itafanya
ukonde
This
will
make
you
get
high
Kutumia
pombe
na
ganja
Using
alcohol
and
weed
Nayajua
haya
yote
I
know
all
this
Kwa
maana
ndo
nilikotoka
Because
that's
where
I
came
from
Utasimama
kijasiri
You
will
stand
bravely
Na
mwisho
utadondoka
And
in
the
end
you
will
fall
Wataleta
daktari
They
will
bring
a
doctor
Akuulize
nini
shida
To
ask
you
what's
wrong
Hawatapata
They
won't
find
Jawabu
kabisa
An
answer
at
all
Wataleta
sheikh
They
will
bring
a
sheikh
Wataleta
mchungaji
They
will
bring
a
pastor
Watasahau
kwamba
They
will
forget
that
Moyo
uliovunjika
A
broken
heart
Natamani
nikuambie
kuwa
nimekuteka
makusudi
I
wish
I
could
tell
you
that
I
kidnapped
you
on
purpose
Maana
unasikia
na
hujifunzi
Because
you
listen
and
you
don't
learn
Nikuumize
kama
mke
wangu
mpuuzi
I'll
hurt
you
like
my
stupid
wife
Aliyekimbia
na
rafiki
yangu
siku
moja
baada
ya
harusi
Who
ran
away
with
my
friend
a
day
after
our
wedding
Nilishaambiwa
na
I
was
told
by
Mama
nikapuuzia
My
mother,
I
ignored
her
Kuwa
haujawahi
That
you've
never
Haujawahi
kulia
You've
never
cried
Kuna
muda
mtu
mbaya
There
are
times
when
a
bad
person
Hutengwa
na
hatia
Is
abandoned
by
guilt
Maana
kafiri
hazaliwi
Because
an
infidel
is
not
born
Utengenezwa
na
dunia
You
are
made
by
the
world
Ukijiua
sitakuona
If
you
kill
yourself,
I
won't
see
you
Mzembe
amini
You
fool,
believe
me
Nitakuvalisha
pete
I'll
put
a
ring
on
you
Ruksa
uipeleke
baharini
You
are
allowed
to
take
it
to
the
sea
Najua
tiba
ya
I
know
the
cure
for
Upweke
amini
Loneliness,
believe
me
Mwisho
wako
ni
Your
end
is
Kuwa
kicheche
kama
To
be
a
mess
like
Hapo
utajua
kunihukumu
Then
you
will
know
how
to
judge
me
Mwanamke
kama
A
woman
like
Wewe
ndio
amenifanya
You
are
the
one
who
made
me
Bila
hofu
wala
Without
fear
or
Nitaendelea
kuzunguka
I
will
keep
going
around
Kutafuta
wasichana
Looking
for
guys
Vipofu
kama
wewe
Blind
like
you
Sina
hatia
I'm
not
guilty
Évaluez la traduction
Seuls les utilisateurs enregistrés peuvent évaluer les traductions.
Writer(s): Edger Vicent Mwaipeta
Album
Jesusta
date de sortie
15-07-2021
Attention! N'hésitez pas à laisser des commentaires.