Dizasta Vina - Hatia II - traduction des paroles en anglais

Hatia II - Dizasta Vinatraduction en anglais




Hatia II
Guilt II
Ah!
Ah!
Nilipaa sasa natua
I flew and now I land
Kwenye, kwenye
On, on
Siri ya moyo
The secret of the heart
Na siri ya moyo
And the secret of the heart
Anayeijua mwenye
The one who knows it has
Mwenye ujasiri wa
The courage to
Kutunza nafanya
Keep, I do
Ninachodhani ni
What I think is
Sahihi kitachotokea
Right, what will happen
Nitajua mbele
I will know ahead
Wanasema mwanaharamu
They say a bastard
Haijui laana, kashalaanika
Doesn't know a curse, he's messed up
Nasikitika kuwa haujui
I'm sorry you don't know
Kama naonekana ka'
If I look like a
Kondoo kwa mchungaji
Sheep to the shepherd
Lakini... lakini kwa ndani
But... but inside
Mi' ni chui mama
I'm a mother leopard
Kwa mfano nakuita mpenzi
For example, I call you honey
Na tabasamu zuri wakati
With a beautiful smile when
Najua kuwa sikupendi
I know you don't love me
Kuitoa hii siri ndo' siwezi
I can't reveal this secret
Kwahiyo nitakudanganya
So I will lie to you
Mpaka ifike siku niutimize
Until the day I fulfill
Ushenzi
The craziness
Huwa nawaza nikuweke
I wish I could make you
Ufahamu,mtambue
Understand, realize
Kuwa mpo wengi
That there are many of you
Na lengo niwateke
And the goal is to take you
Ili mpeleke salamu
So that you may take greetings
Masikini mrembo
Poor beautiful one
Nashangaa jinsi unavo'ngoja
I wonder how you're waiting
Pete kwa hamu
For a ring eagerly
Vile hunioni kwenye
When you don't see me in
Makundi ya baa
Groups of bars
Na bahati nzuri haujawahi
And luckily you've never
Kusikia nikizushiwa uzushi
Heard of me being falsely accused
Kumbe unampigia mbuzi gitaa
Remember, you're playing the guitar
Sometimes unanisongea nguna
Sometimes you make me angry
Au wali ukidhani mi' najali ilihali
Or you think I'm hungry yet
Sina habari, sina hisia siwazi
I don't care, I have no feelings, I'm not clear
Hata kukuonea huruma
Even to pity you
Na sibadili dhambi hata
And I won't change my sin even if
Mbingu ikisogea nyuma
Heaven moves back
Ah!
Ah!
Nashiriki nawe nyakati
I share moments with you
Twitter mpaka instagram
Twitter to Instagram
Picha unani-hashtag drunk in love
Pictures you hashtag me drunk in love
Nanunua brand za gharama za
Buying expensive brands of
Simu ya ghali breakfast
Expensive phone, breakfast
Zanzibar
Zanzibar
Haimaanishi kuwa
Doesn't mean that
Tunaianza safari
We are starting the journey
Nataka nikuandalie maumivu
I want to prepare you for pain
Ili kila unachokiona
So that everything you see
Kiwe kinafanya unikumbuke
Makes you remember me
Ni hatari
It's dangerous
Inaitwa zuia nanga kabla
It's called stop the anchor before
Bado haijang'oa
It's uprooted
Maana haujaheshimu
Because you haven't respected
Mvua kama bado hujaloa
Rain when it hasn't rained yet
Kwa huu mchango ninaotoa
With this contribution I'm making
Ndo' unafanya unazama
That's why you're sinking
Zaidi kiasi unaiwaza mipango
So much so that you're thinking about plans
Ya ndoa
Of marriage
Jicho la tatu hauna
You don't have a third eye
Fungua jicho lako la pili
Open your second eye
Utagundua kila ninachofanya
You will discover everything I do
Ndo' maana haujaona bado
That's why you haven't seen yet
Wala haupo kwenye
Nor are you in
Mpango wa pili
The second plan
Ah!!
Ah!!
Unaniletea zawadi toka
You bring me gifts since
Nilishawaacha
I left them
Na walinichora tattoo
And they drew me a tattoo
Mi sio tunda mama
I'm not a fruit, honey
Mama mi' kidonda
Honey, I'm a wound
Utachelewa kusonga
You'll be late to move on
Ka' bado unaingoja nafuu
If you're still waiting for me to heal
Sherehe ya birthday yako
Your birthday party
Kwenye 'temple' ya anasa
At the pleasure temple
Umekuwa 'mental' kwa
You've become mental for
Huu mwendo ndo'
This is the way
Umenasa
You've been caught
Kiasi unahisi huu ni upendo
You think this is love
Tukishiriki tendo tu nakuacha
Once we make love, I'll leave you
Kichwa changu hichi, kichwa
My head, my head
Nitalala na wewe na
I'll sleep with you and
Wewe na haifiki jumapili
You and it won't even be Sunday
Nitakuwa nimeshakuacha
I will have left you
Ah! utanitafuta
Ah! You'll look for me
Kwenye simu ambayo
On the phone that
Namba nitakuwa nishaibadili
I will have changed the number
Utanitafuta mara mbili
You'll look for me twice
Mara tatu kisha nne
Three times then four
Utagundua kurudi
You'll find that going back
Itang'ata moyo wako
Will hurt your heart
Watu maumivu
People, pain
Hukujiandaa kuyakabili
You were not ready to face it
Utanipamba majina ya
You'll call me names
Nitakuwa mbali nishasafiri
I'll be far away, I'll have traveled
Nishasahau utatunga nahau
I'll have forgotten, you'll make up proverbs
Wakati haukuwahi kuutabiri
When you couldn't predict
Ila upo
That you're in
Utaumia utashindwa kusimulia
You will hurt, you will not be able to tell
Utaniulizia kwa wanaonijua
You will ask about me from those who know me
Hauna tena chako
You have nothing left
Okota vipande vya moyo wako
Pick up the pieces of your heart
Nenda zako kaandike
Go write your
Tanzia
Obituary
Kisha watajua wenzio
Then your other friends will know
Wanafiki watacheka
The hypocrites will laugh
Wanaokujali wataangua kilio
Those who care about you will cry
Watakusindikiza kulia
They will accompany you to mourn
Watakupa pole wengine watasema
They will give you a shoulder, others will say
Wanaume wote mbwa
All men are dogs
Taswira itazongwa
The picture will be burned
Na wingu
With fire
Picha utazichoma
You'll stab the pictures
Kwa kisu
With a knife
Utanitukana mara mwana
You'll call me names, bastard
Haramu mara malaya
Then whore
Rafiki zako wakuu watakuwa
Your best friends will be
Filamu na riwaya
Movies and novels
Wimbo niliokuimbia
The song I sang to you
Kamwe hautokukonga
Will never comfort you
Utachoma mkuki moyoni
You will pierce your heart with a spear
Kisha kunyonga
Then hang yourself
Utaendelea kungoja
You will keep waiting
Utagundua mvumilivu
You'll realize the patient
Hali mbivu hiyo
Is not ripe yet, that
Methali iliongopa
Proverb was wrong
Utagundua ilikuwa
You will discover it was
Ni soga
Just a chat
Hii itafanya ukonde
This will make you get high
Na kuanza
And start
Kutumia pombe na ganja
Using alcohol and weed
Nayajua haya yote
I know all this
Kwa maana ndo nilikotoka
Because that's where I came from
Utasimama kijasiri
You will stand bravely
Na mwisho utadondoka
And in the end you will fall
'Sikiliza'
Listen
Wataleta daktari
They will bring a doctor
Akuulize nini shida
To ask you what's wrong
Hawatapata
They won't find
Jawabu kabisa
An answer at all
Wataleta sheikh
They will bring a sheikh
Wataleta mchungaji
They will bring a pastor
Wa kanisa
Of the church
Watasahau kwamba
They will forget that
Moyo uliovunjika
A broken heart
Hauna tiba
Has no cure
Natamani nikuambie kuwa nimekuteka makusudi
I wish I could tell you that I kidnapped you on purpose
Maana unasikia na hujifunzi
Because you listen and you don't learn
Nikuumize kama mke wangu mpuuzi
I'll hurt you like my stupid wife
Aliyekimbia na rafiki yangu siku moja baada ya harusi
Who ran away with my friend a day after our wedding
Nilishaambiwa na
I was told by
Mama nikapuuzia
My mother, I ignored her
Kuwa haujawahi
That you've never
Kupenda kama
Loved like
Haujawahi kulia
You've never cried
Kuna muda mtu mbaya
There are times when a bad person
Hutengwa na hatia
Is abandoned by guilt
Maana kafiri hazaliwi
Because an infidel is not born
Utengenezwa na dunia
You are made by the world
Ukijiua sitakuona
If you kill yourself, I won't see you
Mzembe amini
You fool, believe me
Nitakuvalisha pete
I'll put a ring on you
Ruksa uipeleke baharini
You are allowed to take it to the sea
Najua tiba ya
I know the cure for
Upweke amini
Loneliness, believe me
Mwisho wako ni
Your end is
Kuwa kicheche kama
To be a mess like
Mimi
Me
Hapo utajua kunihukumu
Then you will know how to judge me
Sio haki
It's not fair
Mwanamke kama
A woman like
Wewe ndio amenifanya
You are the one who made me
Niwe muasi
Be a rebel
Bila hofu wala
Without fear or
Kiwewe
Trauma
Nitaendelea kuzunguka
I will keep going around
Kutafuta wasichana
Looking for guys
Vipofu kama wewe
Blind like you
Sina hatia
I'm not guilty





Writer(s): Edger Vicent Mwaipeta


Attention! N'hésitez pas à laisser des commentaires.