Dizasta Vina - Kikaoni - traduction des paroles en anglais

Paroles et traduction Dizasta Vina - Kikaoni




Kikaoni
Kikaoni
Najivunia kulala na mkeo
I'm proud to sleep with your wife.
Nimevumilia sana na leo
I've endured enough, and today
Nimeamua kusema sijali ka' utanikaba koromeo
I've decided to speak, I don't care if you choke me,
Utanivunja na kuniacha kimeo
You'll break me and leave me crippled,
Kamwe sijutii katu
I don't regret it, not at all.
Sijutii katu
I don't regret it, not at all.
Piga kelele jaza umati sihofii watu
Scream, gather a crowd, I don't fear people.
Nimekubuhu mpaka inafika hatua
I'm so good that it's gotten to the point
Nimefanya mtaa mzima wanajua
I've made it known to the whole neighborhood.
Nasifikirii ni rafu
I don't think it's a foul.
Kwa mitindo zaidi ya saba
In more than seven styles,
Na maumbile nimejariwa si haba
And I've explored her body countless times,
Nilimpa raha kote kwenye gari na valanda
I gave her pleasure everywhere, in the car and on the veranda,
Kama mfungwa aliyekutana na kahaba
Like a prisoner who's met a prostitute.
Ona mrume ndago bila kiwewe
Look at the spear without fear,
Kila uliposafiri mi nilipiga misele
Every time you traveled, I made my moves,
Aliponiita niliitika kuzizima kelele
When she called, I responded to silence her cries,
Na nilipofika nilihakikisha anafika kilele
And when I arrived, I made sure she reached her peak,
Alinipeleka mbali kwa misemo motomoto
She took me far with her hot moves.
Hadithi njoo utamu kolea
Come closer and hear the story,
Ukihisi naongeza chumvi kwa maneno ya uwongo
If you think I'm exaggerating with lies,
Ona alama ya meno kwenye mgongo alafu ngojea
Look at the bite mark on her back and wait.
Ni hakika alinikumbuka kila mida
She definitely thought of me all the time,
Na aliponihitaji niliibuka bila shida
And when she needed me, I appeared without a fuss,
Alipopata swali aliniona mimi kwanza
When she had a question, I was the first one she thought of,
Akajiita Jenny nikajiita Tarzan believe that?
She called herself Jenny, I called myself Tarzan, believe that?
Alifika alikaza na kamba
She arrived and tightened her grip,
Aliweka mizizi ya kukata na panga
She put down roots to be cut with a machete,
Alichizika utasema mwehu
She dug deep, you'd think she was a mole,
Moyoni aliacha alama ka Ronaldo alivyoacha alama bernabeu
In her heart, she left a mark like Ronaldo left his mark on Bernabeu.
Nilikuwa siufahamu ugoni
I didn't understand infidelity,
Ah
Ah
Kama kufumaniwa ni dhambi na nitapata adhabu motoni
If being caught cheating is a sin and I'll be punished in hell,
Nitaenda na tabasamu usoni
I'll go with a smile on my face.
Labda wakati ni sasa nimerudi kuenzi nafasi
Maybe now is the time, I'm back to claim my place,
Napenda uhakika silengi bahati
I like certainty, I don't rely on luck,
Naomba ujue kuwa mkeo mkeo hakupendi kwa dhati
I want you to know that your wife, your wife, doesn't really love you,
Kumlazimisha ni kumuezi hayati
Forcing her is like forcing the deceased.
Sasa kwanini usinipige na ulivyojifugia misuli
Now why don't you hit me with all the muscles you've built up,
Nivunje mbavu zangu labda utajisikia vizuri
Break my ribs, maybe you'll feel better,
Fanya maamuzi sasa maana najitia kiburi
Make a decision now, because I'm being arrogant,
Niue leo walimwengu watafukia kaburi
Kill me today, the world will bury me.
Najisikia uchovu na mihayo napiga
I'm tired of these struggles I'm going through,
Uliza hizi nyayo na nyika
Ask these feet and the wilderness,
Nimetoka mbali fanya maamuzi tuhitimishe kikao
I've come a long way, let's make a decision and conclude this meeting,
Maana hata mimi nina mishe kibao
Because even I have a lot going on.
Mishe hata wewe unazo mishe unazobadili
Even you have things you'll have to change,
Fafanua eleza na uweke mifano isawiri
Explain, elaborate and give illustrative examples,
Huo ubishi kujikweza weka kando ukatili
Put aside your arrogance and cruelty,
Leo ndio mwisho vinavunja ndoa yako batili
Today is the end, we're breaking your invalid marriage,
Andika talaka ili tuondoke
Write a divorce so we can leave.
Maana maamuzi ni yako au chukua panga unichome
Because the decision is yours, or take a machete and stab me,
Haukuitendea haki kura yako
You didn't do your vote justice,
Kuchagua ndoa wakati sio jambo kubwa kwako
Choosing marriage when it's not a big deal to you,
Utakapo chukua wasaa utagundua ulimpa saa alipohitaji muda wako
When you take your time, you'll realize you gave her an hour when she needed your time.
Anajua kuwa mkoa wa mbali una watoto
She knows that you have children in a faraway region,
Anajua kuhusu vikao na safari za uongo
She knows about your fake meetings and trips,
Anajua kuhusu kondomu ulizobana kwenye nguo
She knows about the condoms you stuffed in your clothes,
Na meseje za wasichana wa chuo.
And the messages from your college girlfriends.
Ulimkuta mwema ukamteka kiakili
You met her innocent and captured her mind,
Ukamshawishi mpaka akakupa shehena ya mwili
You persuaded her until she gave you her body,
Akakupa moyo akihisi utaweka nadhiri
She gave you her heart thinking you would make a vow,
Ukajisahau na kumwonesha asili
You forgot yourself and showed her your true nature,
Ya kwamba wewe ni mchafu tu
That you're just a filthy man.
Kipi unalopoka lakini?
What are you complaining about?
Ubaya ulipokuwa ubaya unachokonda ni nini?
When bad was bad, what did you like?
Mmoja amatupa mwingine ameokata yamkini
One throws away, another picks up, maybe,
Aliyetupa ni wewe na aliyeokota ni mimi. ah!!
The one who threw away is you, and the one who picked up is me. Ah!!
Ilikuwa sababu ya msongo wa mawazo
It was because of stress,
Ndio maana uliona wife sio wa moto kama mwanzo
That's why you saw your wife wasn't as hot as she used to be,
Aliteseka kiasi alihisi ndoa ni sumu
She suffered so much, she felt marriage was poison,
Na nikachukua maamuzi magumu
And I made a difficult decision,
Dongo kwako
Shame on you.
Nilimwokoa na nikamvusha bahari
I rescued her and took her across the sea,
Maana muugwana vitendo maneno hayataangusha jabali
Because a gentleman's actions speak louder than words,
Siku mwili hautagusa sayari
The day your body won't touch the earth,
Utamkumbuka na pengine utajifunza kujali
You'll remember her and maybe you'll learn to care.
Mpunga umeyumba umeanza kujishuku mzee
Your money's gone, you've started to doubt yourself, old man,
Umerudi nyumbani baada ya kushindwa kumudu starehe
You're back home after failing to afford the pleasures,
Haukuwepo Kwenye shida ilipofuzu tarehe
You weren't there when things were tough, when the date came due,
Ulikimbia na nilikuepo mimi pekee
You ran away and I was the only one there for her.
Ngoja nikuudhi unajua mwanao ananiita daddy
Let me annoy you, you know your son calls me daddy,
Nampeleka shule namrudisha nyumbani baada ya kazi
I take him to school, I bring him back home after work,
Nalipa ada, ada usizokumbuka kutoa
I pay his school fees, the fees you don't remember to pay,
Mwanao amefikia barehe na nimemfunza kunyoa
Your son has reached puberty and I've taught him how to shave,
Nimemfunza ushahiri nimefumfunza kufanya mahesabu
I've taught him poetry, I've taught him how to do math,
Nimemfunza kufunga tai kisha kamba za viatu
I've taught him how to tie a tie and shoelaces,
Nimemfunza sheria zinazoongelewa bungeni
I've taught him the laws that are spoken in parliament,
Na nilienda kumtetea alipoonewa shuleni
And I went to defend him when he was bullied at school.
Unahoja yoyote defensively
You're on the defensive,
Maana haujui kama wanalala na kuamka safely
Because you don't know if they sleep and wake up safely,
Haujui kuhusu family dinner
You don't know about family dinners,
Woman' s day, birthday zao haujui hata anniversary
Woman's Day, their birthdays, you don't even know your anniversary.
Haujui maumivu aliyoyapata moyoni
You don't know the pain she felt in her heart,
Haujui harufu ya chakula alichopasha jikoni
You don't know the smell of the food she warmed up in the kitchen,
Haujui kuhusu depression
You don't know about depression,
Maana mara mbili nimemkuta amejifunga kamba shingoni
Because twice I found her trying to hang herself.
Nampenda yeye amenifanya nipate ishara
I love her, she made me see the light,
Amenipa counselling amenifanya niache sigara
She gave me counseling, she made me quit smoking,
Anajua chakula nipendacho timu niipendayo
She knows my favorite food, my favorite team,
Kinywaji anajua even my favorite Colour
She knows my favorite drink, even my favorite color.
Wenzio tunatafuta familia ili tujenge wewe yako ni lini?
We're looking for families to build, when will yours be?
Mkeo amesaliti ndoa sababu yake ni upweke sababu yako ni nini?
Your wife cheated because she was lonely, what's your excuse?
You know what they say... what goes around comes around man
You know what they say... what goes around comes around man
Yeah thus true... so i wonder why you changed you use to be a good man
Yeah thus true... so i wonder why you changed you use to be a good man
What happened to you?
What happened to you?
Nakiri mbele za watu nilishiriki hii dhambi
I confess before everyone, I participated in this sin,
Uvungu wa moyo wangu unasema usaliti ni haki
The pain in my heart says betrayal is justice,
Nyajua kisu chako uniue ila naomba uelewe
Take your knife and kill me, but please understand,
Sijavunja ndoa yako umeivunja ndoa yako mwenyewe
I didn't break your marriage, you broke your own marriage.
Aah
Aah





Writer(s): Edger Vicent Mwaipeta


Attention! N'hésitez pas à laisser des commentaires.