Papa Wemba feat. Diamond Platnumz - Chacun pour soi (feat. Diamond Platnumz) paroles de chanson

paroles de chanson Chacun pour soi (feat. Diamond Platnumz) - Papa Wemba , Diamond Platnumz



Motema ezo lela est ce que ozo yoka nga
Mawa na nga pe pinzoli eh
Mboka nini na kende epayi ya nga, Nakeyi Dar-Es-Salaam
Kolela na nga eleki ya moto mohumbu oya azangaki liberté
Kuna kuna na Zanzibar
Alfajiri huwa ni kitendawili
Nafikiri pindi tukiwa wawili
Tena nakiri inanitesa mwili
Bora tu niache
Chacun pour soi eh, mélodie na nga
Chacun chez soi eh
Chacun pour soi eh, mélodie na nga
Chacun pour soi eh
Ukweli roho inanisonona
Tena moto hadi sijapona
Ila naamini Mola ataniona
Nitakuja pata wakuniponya
Ila tu chonde ma nikuombe
Usiniseme vibaya
Tena nakuombea kuongezewa
Kwa Mola mwaya
Alfajiri huwa ni kitendawili
Nafikiri pindi tukiwa wawili
Tena nakiri inanitesa mwili
Bora tu niache
Nibaki mwenyewee
Chacun pour soi eh, mélodie na nga
Chacun chez soi eh
Chacun pour soi eh, mélodie na nga
Chacun pour soi eh
Aah chacun soi eh
Tucheze rumba
Tena taratibu na mtumba
Twapenda rumba
Wote na marafiki wa kunyumba
Cheza rumba
KINSHASA
Tobina rumba
NAIROBI
Cheza rumba
BRAZZAVILLE
Tobina rumba
Cheza rumba
ABIDJAN NA YAOUNDE
Tobina rumba
NA COTONOU LOME
Mambi na mwana Africa
Rumba ya bana mboka



Writer(s): Dany Synthé, Diamond Platnumz, Papa Wemba


Papa Wemba feat. Diamond Platnumz - Chacun pour soi (feat. Diamond Platnumz) - Single



Attention! N'hésitez pas à laisser des commentaires.