Aslay - Tete текст песни

Текст песни Tete - Aslay



Me siwezi kula mpaka ale yeye
Tena nimlishe kwa kijiko
Nyimbo nimuimbiie, kama kuna joto
Nimpepee, nimpepeee
Kisha, nibembeleeze, nimliwaaze
Na kama kuna kosa beibee anieleeze
Nibembeleeze, nimliwaaze
Na kama kuna kosa beibe anielezee
Napigwa na jua mchana kutafuta pesa aje kulaa
Usiku tena twagombana hivi kwanini aninyanyapaa? Yo yo
Baaba, baba kuandika talaka siweezi
Bora tu baba nibembeleze mapenzii
Sio poaa, anavyonifanyiaa, ila kinyooonge saana yeeh
Navumiliaa
Kama mtoto (te te te) mtoto anavyotembeaa ye ye ye yeeh
(Deeede) atabaadiliika ye ye ye yeeh
(Te te te) mimi navumilia ye ye ye yeeh
Yooote yana mwisho wake ye ye ye yeeh
Hili ni penzi la kijeshi, kuruta nipige saluti
Kwake, hata niwe msafi vipi, makosa sikosi
Ila nikipeti peti, sijui labda nina nuksi
Yani, mwenzangu yeye hataki, naambulia matusi
Ilaa sijaali, napandisha moraali
Ndo kwanza naleta chipsi na kuku na yaii
Ila sijaali, napandisha moraali
Ndo kwanza naleta chipsi na kuku na yai (alee)
Ah, ah ah mchuchu ninaye ila sipati kituu uuuuh
Huku ndo kupatwa kwa penzi butu uh,
Nilikula kofi nilipompapasa usiku
Nilipotaka kufosi nilichezea teke la huku, kwa babu
Eiye eh, kwa babu
Sio poaa, anavyonifanyaa ila kinyoonge saana yeeh
Navumiliaa
Kama Mtoto (te te te) mtoto anavyotembea ye ye ye yeeh
(Deeede) atabadilikaa ye ye ye yeeh
(Te te te) mimi navumilia ye ye ye yeeh
Yooote yana mwisho wake ye ye ye yeeh
Badiliika dada badilika, nakusubiri bado
Mumeo, mumeo eeeh anakusubiri bado
Niombee shemeji yangu nampenda dada yako
Na namsubiri bado
Mwenzie, mwenziie eh, me nampenda bado
Zisti anajua ninavyouumiia, huwa anajua na vitu vyote nasubiria
Zungu Baunsa anashuhudiia, nikaa peke yangu me nalia liaa eeh.
... End...




Aslay - Tete
Альбом Tete
дата релиза
15-10-2017

1 Tete




Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.