Collo feat. Scooby the Lazy Rapper - Jijue текст песни

Текст песни Jijue - Collo feat. Scooby the Lazy Rapper




Boss kama kalapina
Bado tuko on toes kama ballerina
Kitako kaa utazame
Keshopia si ni siku tutalamba kaa mchuzi
EEH
Si kwa sembe tu
Si kwa mlo tu
Si kwa hela tu
Si kwa mali tu
Mwanaume ni kumjua yesu (JIJUE!!!)
Mwanaume ni kumjua yesu
Mwanaume ni kumjua yesu
Yesu4
Mwanaume ni kumjua yesu
Jina ni mingi tutaskia
Moja lakini lanang'aa
Hakuna aliye msafi kama yeye
Na si Poze wala Chibu au la?
Hi ni matata uliza Kenzo naku-double dare
Najua ninapokwenda sitaja potea
Kwa neema yake ndoo nanyenyekea
Bwana asifiwe na si siri
TUNAMTEGEMEA
Si kwa sembe tu
Si kwa mlo tu
Si kwa hela tu
Si kwa mali tu
Mwanaume ni kumjua yesu (JIJUE!!!)
Mwanaume ni kumjua yesu
Mwanaume ni kumjua yesu
Yesu4
Mwanaume ni kumjua yesu
Hakuna U-celeb Bila pesa so
Naweka imani kwa Mungu
Vuma uenee Bila pressure Bro
Siste pia jua nyumbani ndio nguvu
Ni family kwanza kabisa
Kwa hii fani, nadra kubisha
Heshima kwa Babu na Nyanya
Babangu na mama
Msijali vijana
Twalisha watashiba
Si kwa sembe tu
Si kwa mlo tu
Si kwa hela tu
Si kwa mali tu
Mwanaume ni kumjua yesu (JIJUE!!!)
Mwanaume ni kumjua yesu
Mwanaume ni kumjua yesu
Yesu4
Mwanaume ni kumjua yesu
By the way
Hii niile kondoo
Hii niile kondoo
Watangoja sana niwe imbo!
Ambia wao niko strong than before
Kama life?
Mimi nimeponda
Ingekuwa Dishy basi ningenona
Baba yangu sonko Ati
Yeye ni donga!!!
Maisha nywee...
Kunyooka!!!!
Si kwa sembe tu
Si kwa mlo tu
Si kwa hela tu
Si kwa mali tu
Mwanaume ni kumjua yesu EEH
Buuuuda
Na tuko tu kwa hao kwani boss iko nini
Mwanaume ni
Mwanaume ni
Mwanaume ni kumjua...
Mwanaume ni
Mwanaume ni
Mwanaume ni kumjua...
Mwanaume ni
Mwanaume ni
Mwanaume ni kumjua...
Mwanaume ni
Mwanaume ni
Mwanaume ni kumjua YESU



Авторы: Addison Mbugua, Collins Mike Majale, Ian Amkoa Aswani


Collo feat. Scooby the Lazy Rapper - Jijue
Альбом Jijue
дата релиза
17-01-2017

1 Jijue



Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.