Текст песни Ongeza - Diamond Platnumz
Mhhh,
mhhhh
Mi
kwako
sikuingia
miguu
Mikono
hadi
kichwa
kiufupi
mazima
Nikiamini
wa
kufa
kuzikana
Yani
hoi
isio
nafuu
Maututi
kabisa
hata
mashaka
siiina
Nikiaminiiii
tutatengwa
na
Maulana
Mvumilivu
hula
mbivu
Nimengoja
mpaka
zikaoza
Naambulia
maumivu
Ingali
sina
wa
kupoza
Sijui
yangu
stahamilivu
kumnyenyekea
kwaniponza
Napambania
utulivu
mwenzangu
chuki
unaikoza
Sikukufuta
tu
machozi
ulipolia
nililia
na
wewe
Sa
mbona
wanilipa
majonzi
Yani
stress
mapombe
nilewe
We
ndo
wangu
Yesu
Mkombozi
Sa
mbona
Petro
unaniacha
mwenyewe
Nikose
usingizi
na
njozi
ndo
ufurahi
Ok
sawa
si
unataka
nitukanwe
Ongeza,
ongeza
badooo
(Nidhalilike)
Ongeza,
ongeza
badooo
(Nikose
pa
kuificha
sura)
Ongeza,
ongeza
badooo
(marafiki
wanicheke)
(Waning'ong'e
hadaa)
Ongeza,
ongeza
badooo
Mmmhh
kisichokuua
hukukomaza
eti
kiuskali
huo
msemo
mi
nakataa
Mana
jua
linapoangaza
ndo
sina
afadhali
mie
kwangu
ni
mabalaa
Oooohh
najitahidi
kumsinga
mwali
ila
somo
ananikataa
Ooohhh
penzi
letu
si
la
kibatari
anayamwaga
mafuta
ya
taa
Kutwa
ni
vurugu
ndani
Purukushani
hapakaliki
Roho
inaniuma
yani
kwa
nini
sa
tunagombana
sweet
Ooohh
jema
gani
nambie
labda
nitende
kipi
Hata
pa
kucheka
honey
eti
utani
unapaniki
Naelewa
ridhiki
mafungu
saba
na
la
kwangu
sita
Naelewa
sikutoshi
labda
kukuridhisha
Sikukufuta
tu
machozi
ulipolia
nililia
na
wewe
Sa
mbona
wanilipa
majonzi
yani
stress
mapombe
nilewe
We
ndo
wangu
Yesu
Mkombozi
Sa
mbona
Petro
unaniacha
mwenyewe
Nikose
usingizi
na
njozi
ndo
ufurahi
Ok
sawa
si
unataka
nitukanwe
Ongeza
(eheeeee),
ongeza
badooo
(eheeeeee)
(Nidhalilike)
Ongeza,
ongeza
badooo(eee)
(Nikose
pa
kuificha
sura)
Ongeza,
ongeza
badooo
(Ndugu
jamaa
wanicheke,
waning'ong'e
hadaa!)
Ongeza,
ongeza
badooo
(ehee)
Nikose
pa
kuificha
sura
Ah,
waning'ong'e
hadaa...
Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.