Harmonize - Dunia текст песни

Текст песни Dunia - Harmonize



Eti mziki shetani, pesa nazo shetani
Mpira na pombe shetani
Mademu na mihadarati, shetani
Naamini Mungu yupo najua
Ndo ananifanya ninapumua
Akitaka hata sasa ananichukua
Ila mi nataka kujua
Ni nini dunia
Dunia dunia dunia
Hivi ni nini dunia
Dunia eeh
Mmmh wanaoishi kwa imani
Misikitini makanisani
Uwepo wao hauonekani
Hali zao zipo taabani
Hivi ulikuaga wapi before
Hujaja duniani
Na kwanini kunakifo
Unapokwenda hapajulikani
Sawa safari ni yetu sote
Na hakuna aliyekwenda na akarudi
Japo kutusimulia
Kama pazuri ama pabaya
Uwe tajiri ama masikini
Kwa mchanga utarudi
Minatoa wosia tusiishi kwa ubaya
Kunakidude kinaitwa mapenzi
Hakijawahi kueleweka
Wakati wewe unalia mwenzako yeye anacheka
Hivi ni nini dunia dunia dunia
Ni nini dunia, dunia eeh
Eeh Pedezye Kumbuka
Msalimia mwijaku
Tuombeane mwisho mwema (eeh eeh yeah)
Tuombeane mwisho mwema (maana hakuna anaejua kesho)
Tuombeane mwisho mwema (kama wewe muislamu)
Tuombeane mwisho mwema (omba kwa dini yako)
Tuombeane mwisho mwema (kama wewe ni mkristo)
Tuombeane mwisho mwema (nisiri nisiri)
Tuombeane mwisho mwema (tuombeane nisiri)
H



Авторы: Harmonize


Harmonize - High School
Альбом High School
дата релиза
12-09-2022




Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.