Текст песни




First time when I saw you nilitamani nikueleze
How I feel that was dream come true
Alau macho nikukonyeze maybe you can feel asuu
Moyo ungekuaga kitabu ningefunia uone yaliyomo ndani
Yani mwenzako napata tabu sina furaha ata tone
Nioneege imani oh my love (Ooohoo}
Macho yanaona kama umejibu yes, moyo unaona kama umeseme no ooh ooh
Macho yanaona kama umejibu yes, moyo unaona kama umesema no oooh
Nonono kusema kweli mi inaniumiza inanimaliza na sijamaliza
Inaniumiza inanimaliza na sijamaliza
Baylon easy yeah ah
Chibonge nimekua kibaombao
Ghafla chui nimekua kinyau nyau
Mpaka sijui nayosema nimesahau
Vita ya penzi imekua kama maumau
Nikiona sura nakonda nikiona chura nasindwa kubonga
Nakua mbulura masikini omba omba
Kutwa nazurura kutuliza kidonda
Maumivu kama yangu anayo Konde Boy
Namtuliza mwanangu ahh usikonde boy
Macho yanaona yes akili inasema no nooo atakukazia
Macho yanaona kama umejibu yes moyo unaona kama umeseme no ooh ooh
Macho yanaona kama umejibu yes moyo unaona kama umeseme no no nonono
Yeah kusema kweli mi inaniumiza inanimaliza na sijamaliza
Inaniumiza inanimaliza na sijamaliza



Авторы: Tresor


Harmonize feat. Mr. Blue - Afro East
Альбом Afro East
дата релиза
14-03-2020

1   Bed Room
2   Your Body
3   Fall in Love
4   Inanimaliza
5   I Miss You
6   Good
7   Never Give Up
8   Wife
9   Mpaka Kesho
10   Malaika
11   Uno
12   Die
13   Body
14   Mama
15   Rumba
16   Pain
17   Move
18   Hujanikomoa



Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.
Загрузка
Загрузка