Jux - Zaidi текст песни

Текст песни Zaidi - Jux



Its bob manecky
Na na na na×4
Zinanitoka goosbamze
Nikisikia jina lako
Mimi naweukaa
Kabisa me ni chizi wako
Na kama ni mganga eee
Mzuri uyo mganga wako
Sio kwa kunipumbaza uku
Bby mmhh
Mamy ongeza ubuyu
Nizidi kuumumunya eee
Tena na sukari guru
Utamu nikitafuna eee
Bby ongeza ubuyu
Nizidi kuumumunya eee
Tena na sukari guru
Utamu nikitafuna eee (mhmh)
Kama ni pili pili maa (na na na na)
Acha ukali niusikie (na na na na)
Kama nivita mama (na na na na)
Acha adui wanivamie (na na na na)
Kama we ni asali maa (na na na na)
Acha na nyuki wanivamie (na na na na)
Lakini penzi lako bby (na na na na)
Ata kidogo lisipungue (na na na na)
No no nooooo
Zaidi zaidi zaidi zaidi (mhmhh)
Nipe nipe
Zaidi zaidi (mhmhh)
Wewe zaidi zaidiii
Wewe nipe zaidi zaidi (zaidiii)
Haya yaya yaaah yaaah...
Haya yaya haya yaya yaaaah...
Nanyosha mikoni juu
Kwako me nimesarenda
Naona maajabu
Sungura kazidiwa ujanja
Nimekuwa zuzu zuzu zuuu
Nimekuwa bubu bubu buuu
Nimekuwa mbumbu mbuu bby
Nimekuwa zaidi ya nyumbu
Sioni sisikiii... (aaah)
Mamy ongeza ubuyu
Nizidi kuumumunya eee
Tena na sukari guru
Utamu nikitafuna eee
Bby ongeza ubuyu
Nizidi kuumumunya eeee
Tena na sukari guru
Utamu nikitafuna eeee
Mhmhmh...



Авторы: Bob Manecky, Juma "jux" Mkambala


Jux - The Love Album
Альбом The Love Album
дата релиза
01-11-2019




Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.