Nandy - Nibakishie (feat. Alikiba) текст песни

Текст песни Nibakishie (feat. Alikiba) - Nandy



Mmmmmh oh oh oooh mmmh
Yaani, nikikutazama
Naiona Dunia wangu peke yangu tu
Jua linapozama, giza likiingia
Natamani nikuone tu
Ooh baby ukisakata rhumba
Sijalewa nayumba
Caterpillar limebomoa nyumba mmmh
Natamani nife nizikwe nawe
Shida na raha nawe
Niwe nawe
Mwenzako nimepatwa na homa
Umepasua ngoma
We baba ni noma mmmh
Akili imesita imegoma
Mwisho wa reli kigoma
Ooh ooh
Oh baby (nibakishie)
Usinipe vyote mie (nibakishie)
Utaniua (nibakishie)
Kwa hiyo roho yangu (nibakishie)
Oh baby (nibakishie)
Usinipe vyote mie (nibakishie)
Utaniua (nibakishie)
Kwa hiyo roho yangu (nibakishie)
Ooh baby
Nishaharibu cocky ya mapenzi acha niloe
Pacha wangu ni wewe tunamatch sare sare
Nitazurula kulilinda penzi
Kwa ndumba na chale
Tetere lipe mchele mzoga wake mwewe
Ooh, basi nikabidhi
Ooh, moyo sitopunja wala kupima aiyaya
Ya yanishika ganzi na kichomi kuchoma
Mwili mzima wa tetema ooh maybe
Baby, umetekenya ngoma
We mama ni noma (noma)
Akili imesita imegomaa
Mwisho wa reli kigoma kigoma kigoma
Ooh ooh
Oh baby (nibakishie)
Usinipe vyote mie (nibakishie)
Utaniua (nibakishie)
Kwa hiyo roho yangu (nibakishie)
Oh baby (nibakishie)
Usinipe vyote mie (nibakishie)
Utaniua (nibakishie)
Kwa hiyo roho yangu (nibakishie)
Ooh baby eeh



Авторы: Nandy


Nandy - Nibakishie
Альбом Nibakishie
дата релиза
11-11-2020




Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.