Professor Jay - Njoo текст песни

Текст песни Njoo - Professor Jay




Yeah yeah, ebwana ee mziki mnene skizeni
(Its yo guy)
Hahaa
Toka bongo Daresalaam mpaka Nairoberry
Yeah yeah
Profesa Jay, Nyashiski baby
Mskie mskie
Utakataaje nakuita njoo,
Utakataaje nakuita njoo,
Utakataaje nakuita njoo,
(Yeah Profesa Jay waharibie)
Nimekuchagua wewe kubali kuwa mwenzangu,
Nakuita njoo kama unasoma hisia zangu,
Staki kuona moyo wangu unataka pasuka,
Nakuita mbona binti mrembo unataka kuruka.
(Njooo)
Nakuita wewe njoo karibu nami unantia kiwewe njoo ue wangu mwandani,
Siwezi kukuahidi vitu nisivyo viweza
Nakupenda wewe ndicho kitu ninacho kueleza,
Najua kumuamini mtu hii yataka moyo,
Skiza basi mbona hufanani na wenye choyo ini mkalia nyongo,
Kope mkonyeza nyuso,
Kuja karibu yangu ni kunitolea nuksi aah Come on maa
Sikia nakuita njoo Sipo kwenye uhuni wala usiniite yoyoo,
Njoo kwenye furaha upendo mwingi na
Raha malkia wapekee mwenye mng'aro wa taa
Mwili unakufa ganzi,
Moyo mpaka fikra Roho yangu iko wazi tayari kuibusu kibra
Nakuita njoo, njoo baby acha kusita,
Ni mimi wako sauti yangu inakuita,
Aya mapenzi wala si uwanja wa vita
Njoo njoo njoo
Nakuita njoo,
Niaje baby, nikuita utaitika, ukisita nakuita tena boo,
Njoo, njoo, njoo njoo.
Hahaa, game over
Sitaki vicheche nakutaka wewe madam
Ahaa
Tupande ndege twende Daresalaam
Hahaa yeah
Unaonaje uplan,
Make me yo number one
(Yeah shiski)
Hata wakikushow usikae na mii usidate celebrity
Mapenzi kwa binadamu si necesite hata mi nina mahitaji nahitaji
Timiza kunabaridi joh silali nimeacha
Wazi madirisha nikiwa chini nilete juu
Sister duu nina mapozi na we ile design ya Mr. Blue
Sjui nitembee maili 8 nikslim nikushed
Juu bado hupatikanii yo my sweet big baby boo
Im just joking dada come to me
Slight hold you manzi but actually naeza picture we
Na mimi on a nice jumapili smoking ganja kwa balcony
Hauna bus fare usijalii bado me ntawalk
With you kaa money na patron na big pin eeh
Basi ataivo watajam wakiskia uko inlove na me lakini hawatakuona
Tukienda Zanzibar honeymoon tukikaa kwa beach na vinywaji kaa malibu
Tukinasa kili na matawi za mariju-ana ulizaa
Juu vile si hufanya hahaha yeah shiskii yeah
Nakuita njoo, njoo baby acha kusita,
Ni mimi wako sauti yangu inakuita,
Aya mapenzi wala si uwanja wa vita
Njoo njoo njoo
Nakuita njoo,
Niaje baby nikuita utaitika, ukisita nakuita tena boo,
Njoo, njoo, njoo njoo.
King wa rap haya haya
Oya profesa
Say what
Nyashiski Hahah
Nairobi mpaka Dar kuna ma binti ehh
Haya basi wacha niwape story skizeni poa tegeni skio ila me sikondi
Kuna idadi ya wanawake mradi nipate mate nimpakate huyo dada kisawa
Nipate chake manake mamaake alimrithisha na viungo
Poa sura laini matiti hata mat.sss... si amebarikiwa
Huyo dada mwenye pilipili kwa mwili si siri amefanikiwa (fanikiwa)
King wa rapa nakupa sweeter flow
Nakupenda kwa dhati ndomana nakuita njoo
Anyway Dj alikua anafanya kazi ka kawaida mi hua ndani ya club mi ni
Maji napiga kama sijamsifu atalani sa ni tembo kwa wingi opplosite
Sex na ma mini ts ts kamili kuna
Pressure kwa club mademu ka 60 na mi ...





Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.
//}