Songtexte Ku-deal na Mimi - Nelly-Music
Mara
nyingi
tumeamini
Yakua
maisha
yetu
Yana
adui
Anaetufanya
sisi
tukafeli
Anaetupotosha
kwenye
hii
kweli
Tunaamini
huyo
ni
adui
Na
wala
si
mwingine
ni
ibilisi
Tumebweteka
mawazo
nayo
akili
Tumemtupia
lawama
na
kila
kesi
Ila
ukipiga
goti
kusali
Mara
papo
Roho
atasemezana
nawe
Kwenye
kioo
utamuona
mtu
wa
ndani
Na
utasikia
Roho
akisemezana
nae
Neno
latusihi
tujifix
from
the
heart
Change
your
minds
Thats
where
you
start
Adui
wa
kwanza
ni
mimi
Nina
kasoro
ndani
Nijichunguze
nifanye
usafi
Neno
latusihi
tujifix
from
the
heart
Change
your
minds
Thats
where
you
start
Adui
wa
kwanza
ni
mimi
Nina
kasoro
ndani
Nijichunguze
nifanye
usafi
Kudeal
na
mimi
Nimeamua
Kudeal
na
mimi
Kudeal
na
mimi
Nimeamua
Kudeal
na
mimi
Yule
nimuonae
kwenye
kioo
Mwenye
akili,nafsi,mwili
na
Roho
Kudeal
na
mimi
Nimeamua
Kudeal
na
mimi
Nifungue
macho
nione
uovu
ndani
yangu
Nikemee
yangu
kama
nnavyo
ya
wenzangu
Nisione
aibu
kuface
makosa
yangu
Hata
kama
ninalijua
mi
peke
yangu
Nipende
rafiki
yangu
kama
nafsi
yangu
Nimpe
kutoka
moyoni,nnacho
taka
kwangu
Niwish
the
best
for
them
as
if
nnawish
kwangu
Nifanye
kwako
kama
ni
kwangu
Tunda
la
Roho
liwe
langu
Nisisahau
kiasi
hio
pia
ni
ya
kwangu
Nisishike
nane
tisa
nkawaachia
wenzangu
Nisihubiri
wema
wakati
haupo
ndani
yangu
Tunda
la
Roho
liwe
langu
Nisisahau
kiasi
hio
pia
ni
ya
kwangu
Nisishike
nane
tisa
nkawaachia
wenzangu
Nisihubiri
wema
wakati
haupo
ndani
yangu
Kudeal
na
mimi
Nimeamua
Kudeal
na
mimi
Kudeal
na
mimi
Nimeamua
Kudeal
na
mimi
Yule
nimuonae
kwenye
kioo
Mwenye
akili,nafsi,mwili
na
Roho
Kudeal
na
mimi
Nimeamua
Kudeal
na
mimi
Nililia
na
kuumia
na
kulaumu
Mara
nyingi
Nilisikia
na
kuamini
Adui
ni
wao
wala
sio
mimi
Nilijitukuza
nakujiamini
Nakudhani
sahihi
ni
mimi
Nikajikubali
nakukua
hivyo
Muda
ukapita
hali
ndivyo
sivyo
Lakini
Bwana
kanipa
Neema
Kafungua
macho
nikaona
kwamba
Adui
wa
kwanza
Aweza
kua
mimi
Akanifundisha
nibadili
kipi
Nitakua
rafiki
nikianza
na
mimi
Nitakuponya
wewe
nikipona
mimi
Maana
siwezi
leta
mabadiliko
Kama
badiliko
ndani
yangu
halipo
Nitakua
rafiki
nikianza
na
mimi
Nitakuponya
wewe
nikipona
mimi
Maana
siwezi
leta
mabadiliko
Kama
ndani
yangu
badiliko
halipo
(Oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh)
Oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh
(If
you
wanna
change)
(Oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh)
Oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh
(Kwa
mabadiliko)
(Oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh)
Oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh
(Tajirekebisha)
(Oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh)
Oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh
(Naanzaa
na
mimi)
(Oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh)
Oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh
(Naanza
na
mimi)
(Oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh)
Oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh
(Ndani
yangu)
(Oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh)
Oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh
Najua
ni
ngumu
(Oh
oh
oh
oh
oh
oh
oh)

1 Home (Bonus)
2 Outro
3 Hatua
4 Waite
5 Malenga
6 Mhamiaji
7 Wasiwasi
8 Nioshe
9 Ku-deal na Mimi
10 Pamoja Nasi
11 Interlude
12 Kimya
13 Tofauti
14 Excited
Attention! Feel free to leave feedback.