Ben Pol - Maneno Lyrics

Lyrics Maneno - Ben Pol



Ooh aah ooh aah aah eeeh
Ooh aah ooh aah aah eeeh
Ooh aah ooh aah aah eeeh
Ooh aaaahh
Kila siku ninapoamka
Ninapoianza siku mpya
Namshukuru Mola kwa kunilinda
Nafasi nyingine nikapewa
Labda nikijituma
Na mi iko siku ataniletea
Na mi niwe na vyangu
Niepuke ya walimwenguu
Kukicha ni maneno maneno
Wenzangu hamuishi kusema
Na mi sijali yenu maneno
Mwanadamu amezaliwa anasema
Kukicha ni maneno maneno
Wenzangu hamuishi kusema
Na mi sijali yenu maneno
Mwanadamu amezaliwa anasema
Eeh eeh eeeh oooh
Kukosa kitu leo sio tatizo
Nikitafuta nitapata kesho
Naamini Nami ataniletea
Pamoja na magumu ninayopitia
Kukosa kitu kwangu sio tatizo
Nikitafuta nitapasta kesho
Naamini Nami ataniletea
Pamoja na magumu ninayopitia.
Eeeeh eeh
Hawajui kuhisi kwa upendo
Ama ninafuraha Siku zote
Maisha yetu ni uadui tu
Hatujui dunia tunayopita tu
Na kwenye maisha kuna kuanguka
Ila mi sitachoka nitainuka
Mpaka siku itakapofika
Ndoto zangu zote kukamilika
Na kwenye maisha kuna kuanguka
Ila mi sitachoka nitainuka
Mpaka siku itakapofika
Ndoto zangu zote kukamilika
Mmmh
Kukicha ni maneno maneno
Wenzangu hamuishi kusema
Na mi sijali yenu maneno
Mwanadamu amezaliwa anasema
Kukicha ni maneno maneno
Wenzangu hamuishi kusema
Na mi sijali yenu maneno
Mwanadamu amezaliwa anasema
Eeh eeh eeeh oooh
Kukosa kitu leo sio tatizo
Nikitafuta nitapata kesho
Naamini nami ataniletea
Pamoja na magumu ninayopitia
Kukosa kitu kwangu sio tatizo
Nikitafuta nitapata kesho
Naamini nami ataniletea
Pamoja na magumu ninayopitia



Writer(s): Ben Pol


Ben Pol - Ben Pol
Album Ben Pol
date of release
05-02-2014




Attention! Feel free to leave feedback.