paroles de chanson Hujali - Young Dee
Intro
–
Yeah
Hii
ni
habari
njema
Hii
ni
moja
ya
ngoma
inayowakilisha
vyema
Hisia
za
mtu
aliyetemwa
Naheshimu
tabia
nyingi
za
vijana
Ila
sio
za
kuziendekeza
sana
Kama
kupenda
ni
mtihani
wa
kila
kijana
Kaza!
Na
mawazo
kichwani,
uko
wapi
hivi
kwani?
Navyoku-miss
hadi
nalia,
naishia
kukuona
pichani
Uzuri
wako
umeni-cost,
mi
dai
sio
ka
dukani
Ukiniona
nime-lost,
nishakosa
ramani
Napenda
kujizuia
nisiwe
hata
nakuwaza
Niliyempenda
amekimbia,
sijui
nlishindwa
kumkataza
Nimebaki
naugulia,
sina
hata
wa
kuniliwaza
Ka
sipo
ndani
ya
dunia,
kote
kumenyamaza
Sa
nimepata
mwenye
figure,
ila
huyu
anaringa
Anaringa
on
every
finger
Walompa
washaanza
kuniwinda
Dah,
ulikuwa
ukitabasamu,
sio
tu
kwenye
good
times
Umeniacha
nina
hamu
baada
ya
kunionjesha
utamu
Na
nahisi
hiyo
figure
ulionekana
hata
umekaa
Ba-basi
nilifika
ila
nikakosa
pakukaa
Roho
inahuzunika
na
furaha
imekwisha
Nikisema
niko
busy,
hujali
Nsipopiga
simu
usiku,
hujali
Nkikwambia
sina
kitu,
unasema
nsijali
Nkafurahi
kila
siku
nlihisi
nimepata
zali
Nikisema
niko
busy,
hujali
Nsipopiga
simu
usiku,
hujali
Nkikwambia
sina
kitu,
unasema
nsijali
Ila
hatari
mwisho
wa
siku
umekwenda
mbali
Maji
ya
moto
kwa
baridi
ina
maana
hamna
joto
Hata
mtoto
kwa
mkaidi
si
kwamba
hamna
mboko
Kukupenda
nilijitahidi
ila
umeniacha
kwenye
chocho
Sijui
akili
ulinizidi
au
ndo
hivyo
niko
soso
Si
wakati
tunapendana,
haya
tulishayaongea
Ikawa
tuombe
kwa
Maulana
tu
yasije
kutokea
Leo
wapi
ulipoelekea,
hadi
usahau
ulipotokea?
Nakupenda
honey,
nateswa
na
haya
mazoea
Mapenzi
mnapopendana,
ushenzi
mnapotengana
Kuwa
crazy
inawezekana,
kwa
wezi
walivyojazana
Umeniacha
sina
amani
wala
raha,
niko
ndani
Niende
studio,
nampigia
Mbezi,
wapi
hapatikani!
Huenda
mi
nilikupenda,
ila
we
ulinitamani
Kweli
umenipenda
ila
unapoenda
ni
gizani
Unafeli
(mama!)
au
umepandwa
na
shetani?
Kweli
siko
sawa?
Nambie
nakosa
gani
Nikisema
niko
busy,
hujali
Nsipopiga
simu
usiku,
hujali
Nkikwambia
sina
kitu,
unasema
nsijali
Nkafurahi
kila
siku
nlihisi
nimepata
zali
Nikisema
niko
busy,
hujali
Nsipopiga
simu
usiku,
hujali
Nkikwambia
sina
kitu,
unasema
nsijali
Ila
hatari
mwisho
wa
siku
umekwenda
mbali
Mapenzi
yangu
gado
Kuchoshwa
na
mpenzi
wangu
bado
Ah,
ila
mwenzangu
hufagilii
Navuta
waya,
natupa
text
hufatilii
Ah,
basi
mi
yangu
macho
Na
nitafutwa
na
ndugu
zangu
jasho
Ah,
napigwa
jiwe
na
Young
Dee
Kwa
sababu
ya
mapenzi,
crazy,
baby!
Nikisema
niko
busy,
hujali
Nsipopiga
simu
usiku,
hujali
Nkikwambia
sina
kitu,
unasema
nsijali
Nkafurahi
kila
siku
nlihisi
nimepata
zali
Nikisema
niko
busy,
hujali
Nsipopiga
simu
usiku,
hujali
Nkikwambia
sina
kitu,
unasema
nsijali
Ila
hatari
mwisho
wa
siku
umekwenda
mbali
Nimenasa
mpenzi,
umenikimbia
Umeniacha
kipenzi,
wapi
ntakimbilia?
Nimedata
kishenzi,
ah
ka
umeshtukia
Maana
sitaki
kufikiri
ulikuwa
ukiniibia
Nimenasa
mpenzi,
umenikimbia
Umeniacha
kipenzi,
wapi
ntakimbilia?
Nimedata
kishenzi,
ah
ka
umeshtukia
Maana
sitaki
kufikiri
ulikuwa
ukiniibia
Attention! N'hésitez pas à laisser des commentaires.