Harmonize - Mtaje - перевод текста песни на французский

Текст и перевод песни Harmonize - Mtaje




Mtaje
Mtaje
Big boy...
Grand garçon...
Mmmmh mmhh.
Mmmmh mmhh.
Anakasura ka upoleeeee
Anakasura ka upoleeeee
Miaka nenda rudi hazeeekiii.
Miaka nenda rudi hazeeekiii.
Tena ni mtu wa Gym Gym
Tena ni mtu wa Gym Gym
Shepu ndo linanipa wazimu zimu
Shepu ndo linanipa wazimu zimu
Na tattoo nimchoree
Na tattoo nimchoree
Ila ndo hivo tena hapendekiii.
Ila ndo hivo tena hapendekiii.
Amakweli mapenzi hayana mwalimu
Amakweli mapenzi hayana mwalimu
Wengine hata kuniona ni adimu
Wengine hata kuniona ni adimu
Hivi tuseme anangekewa.
Hivi tuseme anangekewa.
Ama nyota yake kali ananizidi.
Ama nyota yake kali ananizidi.
Ama mjini nimechelewa
Ama mjini nimechelewa
Mbona wengine wanamponda wanamwita bibi
Mbona wengine wanamponda wanamwita bibi
Nilianza kumuona mapema
Nilianza kumuona mapema
Enzi za mabanda ya sinema
Enzi za mabanda ya sinema
Alikuaga ni rafiki na wema she's so beauuuu.
Alikuaga ni rafiki na wema she's so beauuuu.
Acha wanione mshamba tuu...
Acha wanione mshamba tuu...
Tuta huwezi kulipigia hona
Tuta huwezi kulipigia hona
Umri nao ni namba tuu
Umri nao ni namba tuu
Kinacho niuma anajifanya Haoni
Kinacho niuma anajifanya Haoni
Kama unamjuaaaa (mtajee)
Kama unamjuaaaa (mtajee)
Nani anemjuaaaa.(mtajee)
Nani anemjuaaaa.(mtajee)
Kama unamjuaaaa (mtaje avimbe kichwa ajisifiee)
Kama unamjuaaaa (mtaje avimbe kichwa ajisifiee)
Basi kama unamjuaa. (Mtajee)
Basi kama unamjuaa. (Mtajee)
Kama unamjuaaa (mtajee)
Kama unamjuaaa (mtajee)
Kama unamjuaaa (mtajee avimbe kichwa ajisifieee mmh mmh mmh)
Kama unamjuaaa (mtajee avimbe kichwa ajisifieee mmh mmh mmh)
Anae lenga kwa rula sikuzote ndo apatayeee.
Anae lenga kwa rula sikuzote ndo apatayeee.
Mwambieni mwanangu ppoula mi nampenda mamayeee.
Mwambieni mwanangu ppoula mi nampenda mamayeee.
Tena ni fundi wa kuchanua aaah
Tena ni fundi wa kuchanua aaah
Utasema samaki Ng'onda
Utasema samaki Ng'onda
Hapo ndo nikagundua aaah nini kiliwaliza makondaaa.
Hapo ndo nikagundua aaah nini kiliwaliza makondaaa.
Wa daladaladala
Wa daladaladala
Mi nashindwa kulalalalalala
Mi nashindwa kulalalalalala
Hana mbadaladaladala
Hana mbadaladaladala
Anaitwa ka ka eeeh
Anaitwa ka ka eeeh
Hakika ye ndo kiboko yangu jua likiwaka ikinyeshaaaa
Hakika ye ndo kiboko yangu jua likiwaka ikinyeshaaaa
Utembo na ujeshi wangu getini Kwake nilikesha...
Utembo na ujeshi wangu getini Kwake nilikesha...
Mtihani wa mapenzi hakuna aliyefuzuuu
Mtihani wa mapenzi hakuna aliyefuzuuu
Sawa unywe pombe na useme una Udhuuu
Sawa unywe pombe na useme una Udhuuu
Na mtu ukishapenda unakua Zuzuu
Na mtu ukishapenda unakua Zuzuu
Eti nawaza aje kua mama zuzu
Eti nawaza aje kua mama zuzu
Kama unamjuaa. (Mtajee)
Kama unamjuaa. (Mtajee)
Kama unamjuaaa (mtajee)
Kama unamjuaaa (mtajee)
Kama unamjuuuu (mtajee avimbe kichwa ajisifieee mmh mmh mmh)
Kama unamjuuuu (mtajee avimbe kichwa ajisifieee mmh mmh mmh)
Eeeh
Eeeh
Big boy na migoo wanamjua
Big boy na migoo wanamjua
Cha upole anamjua
Cha upole anamjua
Anko Duke Naye anamjua
Anko Duke Naye anamjua






Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.