Текст песни Shujaa Wako - Otile Brown
Ukihitaji
rafiki
unipigie
(unipigie)
Nami
ntafika
kabla
dakika
hajizakwisha,
Kifuani
mwako
ntakuliwaza,
Na
ntakesha
nkikutazama
ukilala
(BRIDGE)
Ntakua
shujaa
wako,
Ntakua
kila
kitu
ukipendacho
Mwanaume
kamilifu,
Ntakua
shujaa
wako,
Ntakua
kila
kitu
ukipendacho,
Mwanaume
wa
kimiujiza
baby,
eh
(CHORUS)
Nataka
niwe(niwe)
yule
umwaminiaye,
nieleze
siri
zako
ntazihifadhi.
Nataka
niwe(niwe)
yule
akufarijiaye,
niambie
shida
zako
ntazitatua.
Unastahili
bora
mpenzi
nami
ntakufanya
ujihisi
muhimu
tena
mwenye
dhamani
Ntakupumbaza
na
mapenzi,
nawe
utajihisi
kama
we
ndo
mwanamke
pekee
kwenye
hii
sayari.
Maana
ukichoka,
ntakuogesha,
ntakupikia,
ntakulisha,
nikupeleke
kitandani
nikuimbie
mpaka
ulale,
babe,
(BRIDGE)
Ntakua
shujaa
wako,
kila
kitu
ukipendacho
Mwanaume
kamilifuu
Ntakua
shujaa
wako,
Ntakua
kila
kitu
ukipendacho
Mwanaume
wa
kimiujiza
baby,
(CHORUS)
Nataka
niwe(niwe)
yule
umwaminiaye,
nieleze
siri
zako
ntazihifadhi.
Nataka
niwe(niwe)
yule
akufarijiaye,
niambie
shida
zako
ntazitatua.
Nataka
niwee
...eh
Natamani
niwe...
eh
Nataka
niwe...
niwee...
eh
1 Juice
2 Nabayet
3 Acha Waseme
4 Baby Love
5 Crush
6 Hi
7 Kenyan Girl
8 Kistaarabu
9 Mapenzi Hisia
10 Pakate
11 Shujaa Wako
12 Siku Yetu
13 Vera
14 Vibaya
15 Yule Mbaya
16 The Way You Are
17 Aiyana
18 Hit & Run
19 Nobody
20 Leilah
21 Dala Dala
22 Niende
23 Nataka
24 Alivyonipenda
25 Aje Anione
26 Regina
27 Samantha
28 Chaguo La Moyo
29 Niseme Nawe
30 Amor
31 Zichune
32 Pole Sana
33 Tamu Sana
34 Wine
35 Dusuma
36 Quarantine
37 Nitulie
38 This Kind of Love
39 Watoto Na Pombe
Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.