Текст песни Mwizi - Zuchu
(Ayo
Lizer)
Do
you
know?
The
way
you
call
me
your
queen
Mwenzako,
I
feel
so
happy,
happy
Do
you
know?
That
you're
my
favourite
human
being
Unakuaga
so
lovely,
lovely,
mm
Ah,
jamani
mwizi
moyo
kaniibia
Nahisi
kihirizi
ah,
kanichimbia
Maana
uchizi
si'
uchizi,
nachanganyikiwa
Mapenzi
kikohozi,
kwake
nimepaliwa
Haki
ya
mama,
chochote
nitafanya
(nitafanya)
And
I
swear
to
God,
niko
hoi
nyang'anyang'a
(nyang'anyang'a)
Haki
ya
mama,
chochote
nitafanya
(nitafanya)
And
I
swear
to
God
kwako
hoi
nyang'anyang'a
(nyang'anyang'a)
O-oh,
tazama
ndege
angani
wanaimba
na
kucheza
"Zu-nzu-nzu,
wewe
mama
nyukilia
we!"
Niliomba
dua
nami
nipate
wakunipendeza
Mungu
tu
aliye
mwema
amenipa
we'
(Na
amini
Mungu
wetu
mwema
ndo'
amenipa
we')
Omalichani,
huoni
ka'
tunaendana
Wenyewe
tumetulizana,
tabia
vimo
twafanana
(sana)
Mapenzi
bwana,
hata
tugombane
mchana
Usiku
tumeshapatana,
twacheka
na
kutekenyana
(sana)
Jamani
mwizi
moyo
kaniibia
(la-la-la)
Nahisi
kihirizi
(ah)
ah,
kanichimbia
Maana
uchizi
si'
uchizi,
nachanganyikiwa
Mapenzi
kikohozi,
ah
nimepaliwa
(nimepaliwa
eh)
Haki
ya
mama,
chochote
nitafanya
(nitafanya)
(ooh,
na
chochote
nitafanya)
And
I
swear
to
God,
hoi
nyang'anyang'a
(nyang'anyang'a)
(a-ah,
mi
kwako
nyang'anyang'a)
Haki
ya
mama,
chochote
nitafanya
(nitafanya)
(oh,
ooh,
ooh)
And
I
swear
to
God
kwako
hoi
nyang'anyang'a
(nyang'anyang'a)
Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.