Текст песни Nimechoka - Zuchu
Lalalalala
Lalala
Lalala
Ooh
ooh
ooh
Umenijengea
kumbukumbu
mbaya
kwenye
penzi
lako
Siwezirudi
hata
nishikie
bakoraa
Nanena
kwa
machungu
umentendea
vibaya
mi,
mwana
mwenzako
Kwa
makusudi
furaha
umenipora
Aah,
asante
umenifunzaa
Nionapo
njia
mbili
nichague
yakuvuli
Mimi,mi
sio
wa
kwanza
kuumizwaa
Wanatendwa
matajiri,
sembuse
mi
wa
sifuri
Aah,na
nakujua
kwa
kumsingizia
she
kwani
Huyo
ni
wewe,
ni
wewe,
ni
weewe
Ukinikumbuka
usijipigishe
u-turni
Uniache
mwenyewe,
mwenyewe,
mwenyewe
niache
Nimechoka,
nimechoka
Nimechoka,
baasi
Nimechoka,
nimechoka
Nimechoka,
baasi
Eh,hasira
Hasira
ndo
maradhi
yangu
Hasira
Nimepoteza
muda
wangu
jamani
hasiiira
Hasira
ndo
ugonjwa
wangu
Hasira
Nimepoteza
lengo
langu
Sitamani
sitamani
makosa
niyarudie
Isiwe
desturi
yangu
kuuchuza
moyo
uumie
Bora
nirudi
nyumbani
Pemba
wanitambikie
Nifungwe
akili
yangu,
mawazoni
nikutoe
Ooh
maana
nakujua
kwa
kumsingizia
she
kwani
Huyo
ni
wewe,
ni
wewe,ni
weewe
Ukinikumbuka
usijipigishe
u-turni
Uniache
mwenyewe,
mwenyewe,
mwenyewe
niache
Nimechoka
(nimechoka),
nimechoka
(nimechoka)
Nimechoka,
baasi
(we
shika
zako
nami
nishike
zangu)
Nimechoka
(nimechoka),
nimechoka
(nimechoka)
Nimechoka,
baasi
Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.