Rayvanny - I Love You Lyrics

Lyrics I Love You - Rayvanny



Ilikuwa safari ndefu yenye mateso
Machozi, mizigo, vikwazo
Ila yote umenitua
Naomba penzi letu lisife kesho
Ukanipa presha, mawazo
Chonde mama utaniua
Na vile hujui kununa, fundi wa kudeka
Hata sijakutekenya unacheka
Ooh, tambua ushaniteka
Hata bila chakula nanenepa, my love
Salama nikiwa na wewe
Hata kama nina shida nasahau
Sura kama malaika
Na wala hauringi kwa dharau
Lawama acha nipewe
Nitoke duniani angalau
Kuliko ukanyanyasika
Hilo mpenzi usahau
Me oh, oh, oh (ah eh)
Mi amor (ah eh)
My love (ah eh)
Te amo (ah eh)
I love you
I love you
Baby, I love you
I love you
I love you (minakupenda sana)
I love you (usiniache mama)
Baby, I love you (me oh)
I love you
Sura ya mama, umbo lawama
Una ya bia miguu
Unanichanganya ukiinama naangalia tattoo
Nipakulie chakula mama sikomi
Asubuhi, mchana mpaka jioni
Michezo unaijua mama msomi
Pini kitovu, kifua na sikioni
Salama nikiwa na wewe
Hata kama nina shida nasahau
Sura kama malaika
Na wala hauringi kwa dharau
Lawama acha nipewe
Nitoke duniani angalau
Kuliko ukanyanyasika
Hilo mpenzi usahau
Me oh, oh, oh (ah eh)
Mi amor (ah eh)
My love (ah eh)
Te amo (ah eh)
I love you
I love you
Baby, I love you
I love you
I love you
I love you
Baby, I love you
I love you



Writer(s): Raymond Mwakyusa


Rayvanny - Flowers
Album Flowers
date of release
08-02-2020




Attention! Feel free to leave feedback.