Harmonize feat. Maua Sama - Niteke текст песни

Текст песни Niteke - Harmonize , Maua Sama



I want to keep you
I no go let you go
Nishafunga na zipu
Kwingine nishasema no
Acha nikusifu
Uzuri wa nyumba choo
Naulivyo nadhifu
Sipati vidonda vya koo
If you leave me I go die
I go die my beiby
Na ukinipenda nitajidai
Nitajidai my beiby
Oooh... nakoma na zako
Kachiri kachiri, ukibinuka binuka
Eeeh... kivumbi na jasho
Wawili wawili, kwenye mashuka mashuka
Asa beiby, niite(uniteke, unitekenye)
Nicheke kama mtoto(uniteke,aaah beiby nitekenye)
Apo ndo penye(uniteke, unitekenye)
Ninenepe kama mpoto(uniteke,aaah beiby nitekenye)
Mmmh
Macho yake lungu lungu akinitazama
Nami nageuka nungu nungu, miiba inasimama
Macho yake lungu lungu akinitazama
Nami nageuka nungu nungu, miiba inasimama
Eeh fanya wazi unachotaka zidisha kunipenda
Ila kuna paparazzi na Basata
Tusichapane madenda
Oooh... nakoma na zako
Kachiri kachiri, ukibinuka binuka
Eeeh... kivumbi na jasho
Wawili wawili, kwenye mashuka mashuka
Asa beiby, niite(uniteke, unitekenye)
Nicheke kama mtoto(uniteke,aaah beiby nitekenye)
Apo ndo penye(uniteke, unitekenye)
Ninenepe kama mpoto(uniteke,aaah beiby nitekenye)
Asa beiby, mimi nataka nikukande
(Pindaa, pinda mgongo pinda)
Yaani pinda nikukande
(Pindaa, pinda mgongo pinda)
Unishikilie, nami nikugande
(Pindaa, pinda mgongo pinda)
Aah pinda pinda mgongo,
Ebu nipe nikukande,yaani nikukandeee...(chii chii)




Harmonize feat. Maua Sama - Kwa Ngwaru
Альбом Kwa Ngwaru
дата релиза
27-11-2019



Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.