Lyrics Aiyolela - Otile Brown
Nina
uraibu
wa
penzi
lako,
siwezi
ridhika
Nipe
tena
na
tena,
mpaka
sijiwezi
kabisa
Tumeshibana
hata
kwenye
njaa,
aah
Japo
haba
tunagawana
(eh,
eh)
Wala
hato
nong'ona,
aah
Mahaba
hatopunguza
Washajaribu
kumuhonga
mengi,
yeye
Ila
hajanimwaga
yeye,
mama
Penzi
lako
sio
karibu
hata
na
ya
sayari
hii
Nikikukosa
karaha,
kukupoteza
sipo
radhi
Oh,
mama
(oh,
oh,
oh)
Sinipimie
(eh,
eh,
eh)
Nipe
tena
na
tena
(oh,
oh,
oh)
Nipe
tena
(eh,
eh,
eh)
Oh
mama
(oh,
oh,
oh)
Sinipimie
(eh,
eh,
eh)
Nipe
tena
na
tena
(oh,
oh,
oh)
Nipe
tena
(eh,
eh,
eh)
Nasema
ninacho
omba
unipende,
mengine
majaliwa
Tukikosa
ewala,
tukipata
kinaliwa
Iwe
ugali
kwa
kumbu,
haki
sielewi
Alichonipendea
nini
haki
ya
Mungu,
oh
Chake
changu,
changu
chake
(eh,
eh)
Mtu
na
pachake
(eh,
oh,
eh,
oh)
Sihitaji
zaidi
yake
(ah,
ah)
Bora
nibaki
mwenyewe
(ah,
ah,
ah,
ah)
Chake
changu,
changu
chake
(eh,
eh)
Mtu
na
pachake
(eh,
oh,
eh,
oh)
Sihitaji
zaidi
yake
(ah,
ah)
Bora
nibaki
mwenyewe
(ah,
ah,
ah,
ah)
Nakukabidhi
moyo
wangu
uendeshe
(oh,
oh)
Wale
oh,
wachana
wale,
ooh
Wale
oh,
wachana
wale,
ooh
Ooh,
Sinipimie
(eh,
eh,
eh)
Nipe
tena
na
tena
(oh,
oh,
oh)
Nipe
tena
(eh,
eh,
eh)
Oh
mama
(oh,
oh,
oh)
Sinipimie
(eh,
eh,
eh)
Nipe
tena
na
tena
(oh,
oh,
oh)
Nipe
tena
(eh,
eh,
eh)
Deka,
deka,
deka
mama
we
unapendwa,
eeh
Deka,
deka,
deka
mama
we
unapendwa
(ah,
ii)
Digira
(ah,
ii),
digira
baby
(prrr)
Digira
(ah),
digira,
eeh
Digira,
digira
mama
(ah,
ii)
Digira
(ah,
ah,
ah,
ah)
Digira
(ah,
ii),
digira
baby
(prrr)
Digira,
digira
(aya)
Digira,
digira
baby
Digira,
digira
ma
Aiyolela
(aiyolela)
Aiyolela
(oh,
aiyolela)
Aiyolela
(oh,
aiyolela)
Aiyolela
(oh,
mama)
Aiyolela
(oh,
mama
we)
Aiyolela
(oh,
mama
we)
Aiyolela
(oh,
we)
Aiyolela,
eeh

Attention! Feel free to leave feedback.