Elani - Jana Usiku paroles de chanson

paroles de chanson Jana Usiku - Elani




Jana usiku, niliota ndoto,
Africa nzima, kuliwaka moto x2
Jua ilinyesha, mvua nayo ikawaka aaa,
Manabii walitafsiri, siku hii na sio siri,
Kama wewe unajipenda, mikono juu mikono juu,
Kama umemea,
Sahau shida ka umesota, leo tupige makelele,
Kona to kona, tukiimba,
Aaaaaaa, aaaaaaa
2
Na mi napendwa na halaiki, wananipigia pigia mtaani,
Haiyaiye,
Tumemea, hakuna fare, na tunataka hewaaa x2
***END***



Writer(s): Bien-aime Baraza, Bryan Chweya, Maureen Kunga, Wambui Ngugi



Attention! N'hésitez pas à laisser des commentaires.