Dizasta Vina - Hatia III - перевод текста песни на английский

Текст и перевод песни Dizasta Vina - Hatia III




Hatia III
Hatia III
Ah
Ah
Nakusalimu mwafrika, nakusalimu habari gani
I greet you an African, what news do I greet you
Nikaribishe tuketi, niseme yaliyo ndani
Invite me to sit down, say what's inside
Sahau kuhusu hadithi za kale za upendo wako
Forget about the ancient myths of your love
Nataka leo tukae tuijadili kesho yako
I want today to sit and discuss it tomorrow
Kutoka kupiga raml na kutii mizimu
From hitting raml and obeying ghosts
Umeanza kufata amri za TV na simu
Have you started to induce TV and phone commands
Na ubaya ni kwamba umeanza kuikacha sanaa
And the disadvantage is that you have begun to abandon art
Na kufata siasa ambayo inakulaza na njaa
And inducing politics that sleeps you hungry
Na kila unachokiona unataka kubeba
And whatever you see you want to carry
Vichache vimekushinda na unapanga kuongeza
A few have won you over and you plan to add
Juzuu, Katekisimu mpaka Novena
Volume, Catechism until Novena
Sio zako, zako zilikuwa ni kutamba ngojera
Not yours, yours was to flirt wait
Umezubaa, majirani wameanza kufika kwako
You are stubborn, the neighbors have begun to get to you
Na unaamini kuwa watakubebea shida zako
And you believe that they will carry your problems with you
Kwa sababu ya ujinga, umezidi umasikini
Because of ignorance, you have outgrown poverty
Unamjengea jirani kwako unachimba unabaki chini
You build a neighbor for you you dig it remains in the ground
Zamani ulikuwa una sembe ya kusaza
In the past you had a razor blade
Uliabudu kazi ukaliweka jembe kwenye shamba
You worshiped the work put the plow on the farm
Ghafla ukauza panga ukapamba jembe kwenye kabati
Suddenly you sold swords decorated the plow in the closet
Ukanunua kioo ujirembe ili uende na wakati
You bought a mirror decorate yourself to go with time
Umechagua urembo na umetupa werevu
Have you chosen beauty and have given us ingenuity
Umeuza mifugo, unafuga kucha na ndevu
You have sold livestock, you tame nails and beards
Familia iwe mwafrika uzame mitini
Let the African family drown in trees
Au uombe msaada wakati unakufa na fasheni mwilini
Or ask for help when you are dying and fashionable in the body
Mwafrika una mzigo mkubwa wa madeni
An African has a huge debt burden
Hauna mali ardhi yako ni 'future ya wageni
You don't own your land is ' future of strangers
Unalala ndani kungoja hisani ya wenye nguvu
You sleep inside waiting for the charity of the strong
Nyumba iko wazi wewe uko ibadani unaabudu
The house is open you are in worship you worship
Ujasili ni kujimudu mwafrika haujui hili
Nativity is self affordance an African does not know this
Umejaliwa nguvu na unashindwa kuzihimili
You are endowed with strength and fail to withstand them
Unavamia diplomasia.unatunga hotuba
You invade diplomacy.you compose a speech
Na hakuna mwenye hisia... kuwa upo nyuma ya muda
And no one is sensitive... that you are behind Time
Ah
Ah
Unapoteza stadi za maisha
You lose life skills
Kwa elimu ya magharibi ikuweke ofisini suti kubwa
For Western education keep you in the office a big suit
Ukumbatie dawati la nyazifa
Hug the desk of the Zifa
Huku unauwa nguvu kazi ya taifa
It kills the workforce of the nation
Umepitiliza nyumbani hauna vituo
You overdo it at home you don't have stops
Umekuwa mtumwa wa sera zao kiasi kwamba hauna future
You have been so enslaved by their policies that you have no future
Hauna dira, hauna lugha hauna nguo
You don't have a compass, you don't have a language you don't have clothes
Milango ya fahamu imefungwa na ufunguo
The doors of consciousness are closed with a key
Umepewa karatasi ukaita jina pesa
You have been given a sheet of paper you called the name money
Ukasubiri ikuletee furaha ikakutesa
You waited for it to bring you happiness tormented you
Ukauza umoja ukauza amani ukauza utu
You sold the union sold the peace sold the personality
Ukawashusha mashujaa wako ukamwinua Yesu wa kizungu
And lowered your heroes and lifted up the White Jesus
Una kucha ndefu kushika chungu matusi
You have long nails to grip the painful railing
Hauwezi kuandika history haumudu herufi
You can't write history you don't afford letters
Ume-bleech nywele, mdomo mwekundu umebusu baruti
Ume-bleech hair, red mouth kissed gunpowder
Nikuite nani, mwafrika mzungu au mzungu mweusi
Who should I call you, white African or black white
Ah
Ah
Unadanganywa rangi yako sio nzuri
You are being deceived your color is not good
Ili utafute pesa ukawaungishe vipuri
To find money connect them to spare parts
Ume-switch kutoka Mama Afrika mpaka drama Queen
Ume-switch from Mother Africa to drama Queen
Una nunua TV uone Afrika ikizama chini
You have to buy a TV see Africa sink to the bottom
Mwafrika umeshakosa mipango
Africa has missed plans
Unajua kuchonga ngenga badala ya kuchonga vinyago
Do you know how to sculpt ngenga instead of sculpting masks
Unaacha wanyama Mikumi, Serengeti
You leave ten animals, Serengeti
Unasafiri unaenda kushangaa ghorofa Chicago
You travel you go to surprise the apartment Chicago
Unarudi unajikuta Mmarekani eti real nigga
You come back you find yourself an American OG real nigga
Mbona haulili bili nigga?
Why don't you eat bill nigga?
Jasiri haiachi asili real nigga
Brave does not leave the original real nigga
Kamwe usijiite G nigga
Never call yourself G nigga
Hauwezi kuwa warrior
You can't be a warrior
Unajua majina ya wasanii kishinda historia
Do you know the names of the winners of history
Unasahu mapishi.hauendi jikoni
You forget the recipe.you don't go to the kitchen
Unakufa na ngoma mwilini cheni shingoni
You die with a drum in the body chain around the neck
Kwa heshima na taadhima unautunza Msaafu
In honor and solemnity you take care of the pensioner
Unatupa kitenge.kisha unafunga hijabu
You throw away the unit.then you close the headscarf
Na ubaya ni kwamba bado haujajua sababu
And the disadvantage is that you have not yet known the reason
Unapewa Zaburi utafakari mwenyewe wakichukua dhahabu
You are given a Psalm contemplate yourself taking gold
Ufeli majibu uishie kubuni
Failure answers end up designing
Ushindane nani msafi aende mbinguni
Wrestle who is pure to heaven
Mhanga wewe rudi uzipitie kanuni
Suicide you go back and go through the principles
Umeshikishwa kitabu wenzio wakushikie uchumi
The book is a book for you
Mwafrika hii haikuingii nikichana
This African didn't get into the comb
Unanuka sana kiasi hauvutii kama jana
You smell so much you are not as attractive as yesterday
Kiburi moyoni haisikii unapokanywa
Pride in the heart does not hear when drunk
Unatia aibu.kiukweli sijivunii kuwa mwana
You are embarrassing.I'm really not proud to be a son
Na bado unaamini shahada ya shule ni zana
And you still believe a school degree is a tool
Haujui ukitaka ule ni shamba
You don't know if you want that to be a field
Unafunga ubongo unafungua mikono ili wakupe msaada
You close the brain you open the hands so that they provide you with support
Umesahau kuwa vya bure gharama
Have you forgotten that free expenses
Mchezo wako sheria zao utashindwa
Your game their rules will fail
Ukiishi porini kama haiwindi utawindwa
If you live in the wild like it doesn't hunt you will be hunted
Inasikitisha wenzako wanaigiza ili waishi
It's a pity your colleagues are acting to survive
Ila we unaishi kwa kuigiza sio
Oh we live by acting not
Umekuwa dekio, umekubali kuwa soko la pombe
You have become a Decio, you have agreed to become a liquor market
Na sigara
And cigarettes
Soko la risasi bunduki na mabomu
Market for ammunition guns and Explosives
Soko la madawa ya kulevya yanauwa waafrika wenzio
The drug market is killing fellow Africans
Soko la dini zao soko la picha za uchi
The market of their religions the market for nude images
Soko la vitu kukuziba sauti
The market for things to clog you sounds
Soko la sera onevu na mifumo gombanishi
Sustainable policy market and complicated systems
Magonjwa batiri unanunua dawa kwa kuhisi sio?
Batiri diseases you buy medicines for not feeling?
Umezagaa visingizio
Are you stuffed with excuses
Haujui akiba ndio maana unashangaa salio
You don't know the savings that's why you wonder the balance
Umegeuzwa kifaa cha majaribio
Turned test device
Imeandikwa asiyeandaa silaha ataandaa mapambio
Written unarmed will prepare decorations
Mwafrika
African
Nakupa nahau kalili
I give you a strong idiom
Afrika inakufa mwafrika unadharau dalili
Africa is dying Africa underestimates symptoms
Unasahau wito unafata mkumbo kwa dau batili
Do you forget the call you follow the belly with an invalid bet
Unakumbuka kila kitu na unasahau asili
You remember everything and forget nature





Авторы: Edger Vicent Mwaipeta


Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.