Текст и перевод песни Dizasta Vina - Hatia III
Добавлять перевод могут только зарегистрированные пользователи.
Nakusalimu
mwafrika,
nakusalimu
habari
gani
I
greet
you
an
African,
what
news
do
I
greet
you
Nikaribishe
tuketi,
niseme
yaliyo
ndani
Invite
me
to
sit
down,
say
what's
inside
Sahau
kuhusu
hadithi
za
kale
za
upendo
wako
Forget
about
the
ancient
myths
of
your
love
Nataka
leo
tukae
tuijadili
kesho
yako
I
want
today
to
sit
and
discuss
it
tomorrow
Kutoka
kupiga
raml
na
kutii
mizimu
From
hitting
raml
and
obeying
ghosts
Umeanza
kufata
amri
za
TV
na
simu
Have
you
started
to
induce
TV
and
phone
commands
Na
ubaya
ni
kwamba
umeanza
kuikacha
sanaa
And
the
disadvantage
is
that
you
have
begun
to
abandon
art
Na
kufata
siasa
ambayo
inakulaza
na
njaa
And
inducing
politics
that
sleeps
you
hungry
Na
kila
unachokiona
unataka
kubeba
And
whatever
you
see
you
want
to
carry
Vichache
vimekushinda
na
unapanga
kuongeza
A
few
have
won
you
over
and
you
plan
to
add
Juzuu,
Katekisimu
mpaka
Novena
Volume,
Catechism
until
Novena
Sio
zako,
zako
zilikuwa
ni
kutamba
ngojera
Not
yours,
yours
was
to
flirt
wait
Umezubaa,
majirani
wameanza
kufika
kwako
You
are
stubborn,
the
neighbors
have
begun
to
get
to
you
Na
unaamini
kuwa
watakubebea
shida
zako
And
you
believe
that
they
will
carry
your
problems
with
you
Kwa
sababu
ya
ujinga,
umezidi
umasikini
Because
of
ignorance,
you
have
outgrown
poverty
Unamjengea
jirani
kwako
unachimba
unabaki
chini
You
build
a
neighbor
for
you
you
dig
it
remains
in
the
ground
Zamani
ulikuwa
una
sembe
ya
kusaza
In
the
past
you
had
a
razor
blade
Uliabudu
kazi
ukaliweka
jembe
kwenye
shamba
You
worshiped
the
work
put
the
plow
on
the
farm
Ghafla
ukauza
panga
ukapamba
jembe
kwenye
kabati
Suddenly
you
sold
swords
decorated
the
plow
in
the
closet
Ukanunua
kioo
ujirembe
ili
uende
na
wakati
You
bought
a
mirror
decorate
yourself
to
go
with
time
Umechagua
urembo
na
umetupa
werevu
Have
you
chosen
beauty
and
have
given
us
ingenuity
Umeuza
mifugo,
unafuga
kucha
na
ndevu
You
have
sold
livestock,
you
tame
nails
and
beards
Familia
iwe
mwafrika
uzame
mitini
Let
the
African
family
drown
in
trees
Au
uombe
msaada
wakati
unakufa
na
fasheni
mwilini
Or
ask
for
help
when
you
are
dying
and
fashionable
in
the
body
Mwafrika
una
mzigo
mkubwa
wa
madeni
An
African
has
a
huge
debt
burden
Hauna
mali
ardhi
yako
ni
'future
ya
wageni
You
don't
own
your
land
is
' future
of
strangers
Unalala
ndani
kungoja
hisani
ya
wenye
nguvu
You
sleep
inside
waiting
for
the
charity
of
the
strong
Nyumba
iko
wazi
wewe
uko
ibadani
unaabudu
The
house
is
open
you
are
in
worship
you
worship
Ujasili
ni
kujimudu
mwafrika
haujui
hili
Nativity
is
self
affordance
an
African
does
not
know
this
Umejaliwa
nguvu
na
unashindwa
kuzihimili
You
are
endowed
with
strength
and
fail
to
withstand
them
Unavamia
diplomasia.unatunga
hotuba
You
invade
diplomacy.you
compose
a
speech
Na
hakuna
mwenye
hisia...
kuwa
upo
nyuma
ya
muda
And
no
one
is
sensitive...
that
you
are
behind
Time
Unapoteza
stadi
za
maisha
You
lose
life
skills
Kwa
elimu
ya
magharibi
ikuweke
ofisini
suti
kubwa
For
Western
education
keep
you
in
the
office
a
big
suit
Ukumbatie
dawati
la
nyazifa
Hug
the
desk
of
the
Zifa
Huku
unauwa
nguvu
kazi
ya
taifa
It
kills
the
workforce
of
the
nation
Umepitiliza
nyumbani
hauna
vituo
You
overdo
it
at
home
you
don't
have
stops
Umekuwa
mtumwa
wa
sera
zao
kiasi
kwamba
hauna
future
You
have
been
so
enslaved
by
their
policies
that
you
have
no
future
Hauna
dira,
hauna
lugha
hauna
nguo
You
don't
have
a
compass,
you
don't
have
a
language
you
don't
have
clothes
Milango
ya
fahamu
imefungwa
na
ufunguo
The
doors
of
consciousness
are
closed
with
a
key
Umepewa
karatasi
ukaita
jina
pesa
You
have
been
given
a
sheet
of
paper
you
called
the
name
money
Ukasubiri
ikuletee
furaha
ikakutesa
You
waited
for
it
to
bring
you
happiness
tormented
you
Ukauza
umoja
ukauza
amani
ukauza
utu
You
sold
the
union
sold
the
peace
sold
the
personality
Ukawashusha
mashujaa
wako
ukamwinua
Yesu
wa
kizungu
And
lowered
your
heroes
and
lifted
up
the
White
Jesus
Una
kucha
ndefu
kushika
chungu
matusi
You
have
long
nails
to
grip
the
painful
railing
Hauwezi
kuandika
history
haumudu
herufi
You
can't
write
history
you
don't
afford
letters
Ume-bleech
nywele,
mdomo
mwekundu
umebusu
baruti
Ume-bleech
hair,
red
mouth
kissed
gunpowder
Nikuite
nani,
mwafrika
mzungu
au
mzungu
mweusi
Who
should
I
call
you,
white
African
or
black
white
Unadanganywa
rangi
yako
sio
nzuri
You
are
being
deceived
your
color
is
not
good
Ili
utafute
pesa
ukawaungishe
vipuri
To
find
money
connect
them
to
spare
parts
Ume-switch
kutoka
Mama
Afrika
mpaka
drama
Queen
Ume-switch
from
Mother
Africa
to
drama
Queen
Una
nunua
TV
uone
Afrika
ikizama
chini
You
have
to
buy
a
TV
see
Africa
sink
to
the
bottom
Mwafrika
umeshakosa
mipango
Africa
has
missed
plans
Unajua
kuchonga
ngenga
badala
ya
kuchonga
vinyago
Do
you
know
how
to
sculpt
ngenga
instead
of
sculpting
masks
Unaacha
wanyama
Mikumi,
Serengeti
You
leave
ten
animals,
Serengeti
Unasafiri
unaenda
kushangaa
ghorofa
Chicago
You
travel
you
go
to
surprise
the
apartment
Chicago
Unarudi
unajikuta
Mmarekani
eti
real
nigga
You
come
back
you
find
yourself
an
American
OG
real
nigga
Mbona
haulili
bili
nigga?
Why
don't
you
eat
bill
nigga?
Jasiri
haiachi
asili
real
nigga
Brave
does
not
leave
the
original
real
nigga
Kamwe
usijiite
G
nigga
Never
call
yourself
G
nigga
Hauwezi
kuwa
warrior
You
can't
be
a
warrior
Unajua
majina
ya
wasanii
kishinda
historia
Do
you
know
the
names
of
the
winners
of
history
Unasahu
mapishi.hauendi
jikoni
You
forget
the
recipe.you
don't
go
to
the
kitchen
Unakufa
na
ngoma
mwilini
cheni
shingoni
You
die
with
a
drum
in
the
body
chain
around
the
neck
Kwa
heshima
na
taadhima
unautunza
Msaafu
In
honor
and
solemnity
you
take
care
of
the
pensioner
Unatupa
kitenge.kisha
unafunga
hijabu
You
throw
away
the
unit.then
you
close
the
headscarf
Na
ubaya
ni
kwamba
bado
haujajua
sababu
And
the
disadvantage
is
that
you
have
not
yet
known
the
reason
Unapewa
Zaburi
utafakari
mwenyewe
wakichukua
dhahabu
You
are
given
a
Psalm
contemplate
yourself
taking
gold
Ufeli
majibu
uishie
kubuni
Failure
answers
end
up
designing
Ushindane
nani
msafi
aende
mbinguni
Wrestle
who
is
pure
to
heaven
Mhanga
wewe
rudi
uzipitie
kanuni
Suicide
you
go
back
and
go
through
the
principles
Umeshikishwa
kitabu
wenzio
wakushikie
uchumi
The
book
is
a
book
for
you
Mwafrika
hii
haikuingii
nikichana
This
African
didn't
get
into
the
comb
Unanuka
sana
kiasi
hauvutii
kama
jana
You
smell
so
much
you
are
not
as
attractive
as
yesterday
Kiburi
moyoni
haisikii
unapokanywa
Pride
in
the
heart
does
not
hear
when
drunk
Unatia
aibu.kiukweli
sijivunii
kuwa
mwana
You
are
embarrassing.I'm
really
not
proud
to
be
a
son
Na
bado
unaamini
shahada
ya
shule
ni
zana
And
you
still
believe
a
school
degree
is
a
tool
Haujui
ukitaka
ule
ni
shamba
You
don't
know
if
you
want
that
to
be
a
field
Unafunga
ubongo
unafungua
mikono
ili
wakupe
msaada
You
close
the
brain
you
open
the
hands
so
that
they
provide
you
with
support
Umesahau
kuwa
vya
bure
gharama
Have
you
forgotten
that
free
expenses
Mchezo
wako
sheria
zao
utashindwa
Your
game
their
rules
will
fail
Ukiishi
porini
kama
haiwindi
utawindwa
If
you
live
in
the
wild
like
it
doesn't
hunt
you
will
be
hunted
Inasikitisha
wenzako
wanaigiza
ili
waishi
It's
a
pity
your
colleagues
are
acting
to
survive
Ila
we
unaishi
kwa
kuigiza
sio
Oh
we
live
by
acting
not
Umekuwa
dekio,
umekubali
kuwa
soko
la
pombe
You
have
become
a
Decio,
you
have
agreed
to
become
a
liquor
market
Soko
la
risasi
bunduki
na
mabomu
Market
for
ammunition
guns
and
Explosives
Soko
la
madawa
ya
kulevya
yanauwa
waafrika
wenzio
The
drug
market
is
killing
fellow
Africans
Soko
la
dini
zao
soko
la
picha
za
uchi
The
market
of
their
religions
the
market
for
nude
images
Soko
la
vitu
kukuziba
sauti
The
market
for
things
to
clog
you
sounds
Soko
la
sera
onevu
na
mifumo
gombanishi
Sustainable
policy
market
and
complicated
systems
Magonjwa
batiri
unanunua
dawa
kwa
kuhisi
sio?
Batiri
diseases
you
buy
medicines
for
not
feeling?
Umezagaa
visingizio
Are
you
stuffed
with
excuses
Haujui
akiba
ndio
maana
unashangaa
salio
You
don't
know
the
savings
that's
why
you
wonder
the
balance
Umegeuzwa
kifaa
cha
majaribio
Turned
test
device
Imeandikwa
asiyeandaa
silaha
ataandaa
mapambio
Written
unarmed
will
prepare
decorations
Nakupa
nahau
kalili
I
give
you
a
strong
idiom
Afrika
inakufa
mwafrika
unadharau
dalili
Africa
is
dying
Africa
underestimates
symptoms
Unasahau
wito
unafata
mkumbo
kwa
dau
batili
Do
you
forget
the
call
you
follow
the
belly
with
an
invalid
bet
Unakumbuka
kila
kitu
na
unasahau
asili
You
remember
everything
and
forget
nature
Оцените перевод
Оценивать перевод могут только зарегистрированные пользователи.
Авторы: Edger Vicent Mwaipeta
Альбом
Jesusta
дата релиза
15-07-2021
Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.