Elani - Zuzu текст песни

Текст песни Zuzu - Elani



Number one on your Radio
Kwani wapi nilikosea
Kwani wapi nilikosea
Elani baby
Kufumba kufumbua, hasira ni hasara
Pesa ndiyo kitu sina, jukumu ni lazima
Tabibu wangu amenitoroka
Tabibu wangu ameniacha
Ameniacha mi(Aiyoooo)
Hoihoii iii(Iyoo, Iyo, yo, yo)
Kwani wapi nilikosea aah aah
Kwani wapi nilipotea, nikaachwa mataa
Anaye ni zuzu anayenizuzua
Anaye ni zuzu amenitoroka
Hoihoii, hoihoii iii
Ulienda, ulienda wapi
Penzi limenichanganya, sijui niko wapi
Ulisema ni mimi tu,
Ukani chocha chocha chocha its me & you
Umeniacha Mi, Hoooiiiii,
Hoi, Hoiiii
Kwani wapi nilikosea aah aah
Kwani wapi nilipotea, nikaachwa mataa
Anaye ni zuzu anayenizuzua
Anaye ni zuzu amenitoroka
Hoihoii, hoihoii iii
Kwani wapi nilikosea aah aah
Kwani wapi nilipotea, nikaachwa mataa
Anaye ni zuzu anayenizuzua
Anaye ni zuzu amenitoroka
Hoihoii, hoihoii iii
Ulienda, ulienda Wapi,
Hapa Nilipo, Ninakumissi Yo Yo Yo,
Ulienda, ulienda Wapi,
Hapa Nilipo, Ninakumissi Yo Yo Yo,
Ulienda, ulienda Wapi,
Hapa Nilipo, Ninakumissi Yo Yo Yo,
Ulienda, ulienda Wapi,
Hapa Nilipo, Ninakumissi Yo Yo Yo,
Ninakumissi Yo Yo Yo,
Ninakumissi Yo Yo Yo,
Ninakumissi Yo Yo Yo,
Ninakumissi Yo Yo Yo,
Ninakumissi Yo Yo Yo,
Ninakumissi Yo Yo Yo,
Ninakumissi Yo Yo Yo,



Авторы: Bryan Chweya, Kevin Macharia


Elani - Barua ya Dunia
Альбом Barua ya Dunia
дата релиза
01-01-2013




Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.