Nandy - Nikumbushe - перевод текста песни на английский

Текст и перевод песни Nandy - Nikumbushe




Nikumbushe
Remember Me
Nirahisi kinywa kujawa na lawama tele
It's easy for my mouth to be full of blame
Pale mambo yanapoonekana hayaendi
When things don't seem to be going my way
Ni ajabu sana namna moyo unahangaika
It's amazing how my heart worries
Ajabu sana moyo unavyoonyesha mashaka yakwamba
Amazing how my heart shows doubts, that
Japokuwa Mungu anaishi ndani yangu kuna muda nahofu,
Although God lives inside me, there are times I'm afraid,
Japokuwa Mungu anaketi kati yetu kuna muda nahofu, ahh
Although God sits among us, there are times I'm afraid, ahh
Nakumbuka wana wa Israel katika bahari yashamu
I remember the children of Israel in the Red Sea
Japo walikatiza katikati ya bahari kwa ushindi,
Though they crossed the middle of the sea in triumph,
Kwa nyimbo nyingi waliimba na kumsifu Bwanaa.
With many songs they sang and praised the Lord.
Lakini baada ya kuvuka na kuliona jagwa
But after crossing and seeing the wilderness
Yalibadilika mambo, manung'unikoo yalisimama
Things changed, and the murmurs stood up
Na kusahau muujiza alotenda Bwana Mwanzo aah.
And forget the miracle the Lord worked in the beginning, aah.
Eee MUNGU Nisaidie ee eeh
Oh God, help me, ee eeh
Nikumbushe wema wako nisije laumu
Remind me of your goodness so I don't blame you
Nikumbushe ukuu wako wakati wa Magumu
Remind me of your greatness in times of trouble
Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu
Remind me of your testimonies so I can praise you
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi,
I'll sing a song of praise in the midst of tears,
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi,
I'll sing a song of praise in the midst of tears,
Eeh ee MUNGU Nisaidie
Oh, oh God, help me
Nisaidie kukumbuka baba yakwamba umenichora
Help me remember, Father, that you have drawn me
Kiganjani mwako kati ya wengi walioko duniani eenh
In the palm of your hand among the many who are in the world, enh
Na mimi umenionaa oooh ooo
And you have seen me, oooh ooo
Nikumbushe baba yakwamba ni wewe umeniponya nilipoumwa
Remind me, Father, that you are the one who healed me when I was sick
Yakwamba ni wewe mlipaji wa ada yangu shuleni.
That you are the one who paid my school fees.
Ouoh ooh Yakwamba kama ungeniacha hatua moja
Ouoh ooh That if you had left me alone for a moment
Nisingelifika nilipo ooh eee Babaa
I wouldn't have made it where I am, ooh eee Father
Umenikung'uta mavumbi, kung'uta
You have dusted me off, dusted off
Mavumbi mimi na kuniheshimisha.
Dust me off and honor me.
Nikumbushe wema wako nisije laumu
Remind me of your goodness so I don't blame you
Nikumbushe ukuu wako wakati wa Magumu
Remind me of your greatness in times of trouble
Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu
Remind me of your testimonies so I can praise you
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi
I'll sing a song of praise in the midst of tears
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi,
I'll sing a song of praise in the midst of tears,
Nikumbushe wema wako nisije laumu
Remind me of your goodness so I don't blame you
Nikumbushe ukuu wako wakati wa Magumu
Remind me of your greatness in times of trouble
Nikumbushe shuhuda zako ili nikusifu
Remind me of your testimonies so I can praise you
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi
I'll sing a song of praise in the midst of tears
Niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi,
I'll sing a song of praise in the midst of tears,
Yesu nakutazama ninakuamini wewe
Jesus, I look at you and trust in you
Fungua maisha yangu, nisaidie nisilalamike
Open my life, help me not to complain
Mbele zako, katika hali zote nijue upo
Before you, in all my circumstances, let me know that you are there
Umesema hutaniacha eeh Yahweh
You said you would not leave me, eeh Yahweh





Авторы: Angel Bernard


Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.