Rayvanny - Ex Boyfriend текст песни

Текст песни Ex Boyfriend - Rayvanny



Leo nakula kwa macho
Nguvu ya kusema sina
Maneno ya mipasho
Na jeuri vimeshazima
Nilishafuta namba zako
Nikachoma picha zako
Sikujali ulivyolia
Mbele ya mashoga zako
Nikasema uende zako
Nguo nikakutupia
Na zaidi uliuguza vindonda
Kwa vipigo manyanyaso kila siku
Kwa mawazo ukakonda Niko bussy kuchiti
Nafungua zipu
Ulinibembeleza nikakubeza
Unanuka na nikatukelekeza
Macho makengeza miguu ya pweza
Kuwa nawe nkasema niliteleza
Leo unapendeza wamekutengeneza
Wanaume wenye mali wenye fedha
Sasa unajiweza na siwezi kujikweza
Najutia nafasi kuipoteza
Leo aibu yangu
Ex boyfriend
Ex boyfriend
Ex boyfriend
Siiti tena honey baby jina langu limekua
Ex boyfriend
Ex boyfriend
Ex boyfriend
Sikujua kumbe tabu peke yangu naugua
Nawaza nilifeli wapi kusema sikutaki
Sura ya baba na kitambi cha makapi
Sasa unamtanashati bitozi tena smart
Mtu wa gym tena ana six-pack
Mi nipo juu ya bati
Sina mikakati
Ghetto mwendo chai na chapati
We ushahama mburahati
Una nyumba masaki
Mnachoma nyama kila siku party
Ushanipiga mikuki aah
Insta mi sifurukuti aah
Mambo ya gauni suti aah
Mkifanya photoshoot aah
Mapenzi hayana commando
Mwenzako unaniuma roho
Natamani nikuite njoo
Turudi kama before
Kumbe shape ilijificha kwenye dera
Hizo skin-jeans mama zinakera
Utaniletea kadi kwenye machela
Siku wakikuvalisha shela
Na ulinibembeleza nikakubeza
Unanuka na nikakutelekeza
Macho makengeza miguu ya pweza
Kuwa nawe nkasema niliteleza
Leo unapendeza wamekutengeneza
Wanaume wenye mali wenye fedha
Sasa unajiweza na sio najikweza
Najutia nafasi kuipoteza
Leo aibu yangu
Ex boyfriend
Ex boyfriend
Ex boyfriend
Siiti tena honey baby jina langu limekua
Ex boyfriend
Ex boyfriend
Sikujua kumbe tabu peke yangu naugua



Авторы: Rayvanny


Rayvanny - Flowers
Альбом Flowers
дата релиза
08-02-2020




Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.