Текст песни Nyota Ya Mchezo - Fid Q
Waeleze
wote
wananyota
ya
mchezooo
We
ni
star
Mimi
ni
star
Kila
mtu
ni
staraaa
aah
aah
Waeleze
wote
wananyota
ya
mchezooo
Unawezajuta
kuitwa
superstar
Unaweza
pigwa
chupa
bar
Kisa
ulipepesuka
ukajukuta
umemgusa
huyu
jamaa
Hakuna
mchumba
huku
amekaa
nachizi
Sio
lango
la
jiji
Sehemu
nyingi
hutokea
musician
ikazua
balaa
Wala
sio
chuki
binasi
hatujui
wapi
tunakwenda
Tunantumia
ili
tuwachati
mabwana
zao
waliowatena
Kidume
anaweza
kumchit
demu
wakati
amemkabiz
moyo
wake
Anaweza
penda
game
gafla
akachukia
player
wake
Usitumie
fame
kama
fimbo
ya
kuchapia
wanawake
Utachukiwa
kila
sehemu
napia
ukimwi
haukuachi
Ugomvi
unaweza
kupa
jina
lakin
haukupi
heshima
Sana
watakuona
mkorofi
na
mashavu
watakunyima
Watakuzima
ili
usisikike
utanuna
kama
mtoto
wa
kike
Utavimba
utapasuka
utatafuta
raia
uwapige
Mwisho
wake
unaweza
pata
mada
kasi
Kisa
umetajwa
kwenye
varse
kumbuka
huu
ni
mziki
na
Wadosi
ndo
wazee
wa
mnada
eti
We
ni
star
Mimi
ni
star
Kila
mtu
ni
staraaa
aah
aah
Waeleze
wote
wananyota
ya
mchezooo
Wew
ni
star
Mimi
ni
star
kila
mtu
nistar
ooh
ooh
Waeleze
wote
wanayota
ya
mchezooo
Hata
mbalanwezi
haing'ai
bila
kuchozaa
Mkono
ukiumia
mdomo
faster
huja
kuupoza
Mdomo
ukiumia
ukiumia
mkono
huja
kuupangusa
tuu
Kama
hujashuka
bado
uko
juu
Kumbuka
sio
unasusa
tu
Vigumu
kuwa
fidq
Misio
ndumu
unaweza
vuta
tu
Wasamehe
wanaokuchukia
kisa
unavaa
vizuri
Usiitenge
familia
kabla
hawajakuchimbia
kaburi
Mpende
mwanao
mpende
na
mke
wako
pia
Mweshimu
usimkate
mkate
stimu
Sababu
ya
viruka
njia
Wangi
wameshachumbia
waoe
lakini
wazazi
wakagoma
Ili
binti
yao
apone
we
msanii
utamuua
kwa
ngoma
Watjob
is
this
lakini
ndo
kazi
alioichagua
Leo
unafanya
intavuu
nawandishi
wananiua
Hawaandiki
kama
ulioongea
Hutaisi
kama
wanakuonea
usiwadis
kwani
utapotea
Wadaku
kote
wameshaenea
Maisha
ni
sanaa
nivema
ukatake
care
Kila
mtu
ni
star
kama
zabara
au
kibenea
We
ni
star
Mimi
ni
star
Kila
mtu
ni
staraaa
aah
aah
Waeleze
wote
wananyota
ya
mchezooo
Wew
ni
star
Mimi
ni
star
kila
mtu
nistar
ooh
ooh
Waeleze
wote
wanayota
ya
mchezooo
Hatuwezi
kuwa
kamali
bila
kuyaonja
majaribu
Wezi
walioniibia
mashahiri
ngosha
siponao
karibu
Hakuna
haridhi
bila
mawe
hakuna
nyama
bila
mfupa
Ukitia
pua
kwenye
maji
kidevu
nacho
kitayagusa
Tunazaliwa
tunalia
siku
yakufa
tunajua
nikwanini
Ukisubir
harufu
ya
viatu
utatenbea
mpeku
mjini
Tunashindwa
kuwacontroo
wadau
kama
hali
ya
hewa
Tunafanaya
shows
kwakias
kidigo
cha
pesa
tunachopewa
Najiona
mwenyew
utazani
naishi
nyumba
ya
vioo
Bila
noma
tunamwaga
ndugu
baada
ya
kuhama
home
Kusingikua
na
giza
je
tungezijua
nyota
Ushajiuliza
bila
Jesus
wakristo
wangapi
wangeokoka
Macho
yangu
hayana
pazia
zia
Uhuru
wangu
unaishia
shia
pua
yangu
inapazia
zia
Zingatia
niliokwambia
mbia
Waheshimu
waliokuzaa
usiwatrit
kama
mashabiki
Wakumbuke
waliokusapot
kabla
hujaanza
kuwaita
wanafiki
We
ni
star
Mimi
ni
star
Kila
mtu
ni
staraaa
aah
aah
Waeleze
wote
wananyota
ya
mchezooo
Wew
ni
star
Mimi
ni
star
kila
mtu
nistar
ooh
ooh
Waeleze
wote
wanayota
ya
mchezooo
We
ni
star
Mimi
ni
star
Kila
mtu
ni
staraaa
aah
aah
Waeleze
wote
wananyota
ya
mchezooo

1 Propaganda
2 Wananiita King
3 Juhudi Za Wasiojiweza
4 Utaua Game
5 Kila Siku
6 Hey Lord
7 Temanoleji
8 Mwanamalundi
9 Shimo Limetema
10 Mama
11 Nyota Ya Mchezo
12 Usinikubali Haraka
13 Ripoti za Mtaani
14 Nilipotoka
15 Propaganda (Bonus Track)
Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.