Текст песни Hey Lord - Fid Q
Hey
lord
Hear
my
plea
I'm
living
on
the
streets
i
have
nothing
to
eat
Hey
lord
what
shall
i
do?
Do
i
become
a
hardcore
gangster
who
gets
a
job
sweeping
the
streets?
The
richest
man
i
see
he's
just
right
in
front
of
me
Will
i
find
joy
and
happiness
in
hustling
and
thugly
I
want
to
build
a
palace
and
marry
my
princess
You've
got
to
give
me
guidance
cause
my
Patience
is
running
out
Nyumbani
ndugu
wanauana
ili
warithi
mali
Jela
wanafungana
wakati
udugu
kufaana
Najiuliza
swali
Kisha
napata
jibu,
nakubali
kuwa
maisha
hayawi
bila
ubandidu
Palipo
maslahi,
usisite
kuamua
kuharibu
ingali
yu
hai
Utatubu
dhambi
taratibu
Mwanadamu
amemtawala
mwenzie
kwa
kumumiza
Anakwapua
mpaka
hasivyo
vihitaji
bila
kubakidha,
Hii
inafanya,
Nafsi
Yangu
ikose
subira
ikose
usingizi
uoga
huzuni
na
hasira
Hakuna
kampeni
za
ukimwi
nia
ni
kuuza
mipira
tu
Chanzo
cha
vita
nyngi
ss
ni
kupeana
ajira
tu
Misaada
haitoki
bila
kudhalilishwa
Ma
NGO's
wanalipa
maskini
kisha
wanawapiga
picha
Uchumi
uliopo
haupo
kwa
maslahi
ya
wengi
Siasa
imegeuka
uhuni
baadhi
ya
viongozi
ni
wezi
Ukishtuka
kuona
kichuguu
utazimia
ukiona
mlima
Sikukuu
nipe
bunduki
stak
zabibu
au
dinner
Staki
nguo
ya
sikukuu
nipe
gwanda
niende
chimbo¿?
Na
mitaa
inanipa
ujuzi
uwezo
pia
inanipa
jina
Inahitaji
ufanye
uchunguzi
ili
upate
maelezo
ya
kina
Me
ni
wa
mwisho
kulala
pia
ni
wa
kwanza
kuamka
Usiku
kucha
uaga
na
jibanza
kwnye
ukuta
Sina
shuka
labda
kama
nmevuta
kigoli
Sina
mzuka
na
shtuka
hata
cha
ukucha
na
mbonji
Au
na
nusa
chupa
ya
gundi
au
petroli
Na
kesha
kama
bundi
sanjali
na
walinzi
wa
lodge
Maisha
yangu
yapo
hovyo
na
navumilia
msoto
Naona
poa
kuliko
yale
ya
kwenye
vituo
vya
watoto
Vyakula
vibovu
havifai
kwa
matumizi
wasimamizi
wanabaka
mabinti
Sababu
ya
chipsi
Skuwa
na
jinsi
zaidi
ya
kuamua
kurudi
street
Skuwa
na
jinsi
zaidi
ya
kuamua
kurudi
street
Hey
lord
Hear
my
plea
I'm
living
on
the
streets
i
have
nothing
to
eat
Hey
lord
what
shall
i
do?
Do
i
become
a
hardcore
gangster
who
gets
a
job
sweeping
the
streets?
The
richest
man
i
see
he's
just
right
in
front
of
me
Will
i
find
joy
and
happiness
in
hustling
and
thugly
I
want
to
build
a
palace
and
marry
my
princess
You've
got
to
give
me
guidance
cause
my
Patience
is
running
out
Tunageuzwa
ma
house
boy
na
wanaozuga
kutu
adopt
Ukijifanya
upo
too
big
wanaku2pac
Me
ni
zaidi
ya
mtaftaji
ndo
mana
sipumziki
Police
wamepanda
chart
kwa
sababu
tu
ya
kunidiss
Hai
maanishi
na
chukiwa
ni
vyema
ungehc
natumiwa
Nishawahi
bebeshwa
drugs
na
maiti
bila
kuambiwa
Magumashi
ya
kapitika
na
script
sikuandikiwa
Watu
wangu
mashababi
mnyonge
hana
nafasi
Kibonde
anzisha
ugomvi
warume
tuje
kusearch
Nlikuw
mtundu
labda
ndo
mwanzo
wa
hisia
Na
kana
me
sina
gundu
ingawa
wengi
walinbania
Na
wakati
wa
kubusu
mic
na
ibusu
we
fikiria
Wangapi
wananuka
mdomo
mic
harufu
wa
meiachia
Unaeza
ukawa
mgomvi
na
una
black
belt
ya
kupigwa
Enzi
hizo
ujanja
ku
break
dance
Enzi
hizo
rap
haipendwi
kama
buzuki
Nanyoa
upara
wa
wembe
napaka
mafuta
ya
bunduki
Naijua
ita
bamba
kama
ngekewa
tu
Mbuzi
atakosa
ndevu
lakini
ng'ombe
atapewa
Mistari
ndo
silaha
ya
kwanza
itayofanya
wahenye
Itawakumbusha
kwamba
haima
kandawile
haina
wenye
Ki
umri
nimekuwa
na
mziki
tangu
utotoni
Vitu
vingi
nnavyofanya
mcees
walifanya
ndotoni
Wanasema
me
ni
nabii
pekee
anaekubarika
kwao
Zaidi
ya
msanii
mazee
nataka
kuwa
mshika
dafu
Ilikuw
ni
some
nightmare
yote
tisini
magumashi
yanaendelea
Sikuwa
na
jinsi
zaidi
ya
kuamua
kurudi
street
Sikuwa
na
jinsi
zaidi
ya
kuamua
kurudi
street
Hey
lord
Hear
my
plea
I'm
living
on
the
streets
i
have
nothing
to
eat
Hey
lord
what
shall
i
do?
Do
i
become
a
hardcore
gangster
who
gets
a
job
sweeping
the
streets?
The
richest
man
i
see
he's
just
right
in
front
of
me
Will
i
find
joy
and
happiness
in
hustling
and
thugly
I
want
to
build
a
palace
and
marry
my
princess
You've
got
to
give
me
guidance
cause
my
Patience
is
running
out

1 Propaganda
2 Wananiita King
3 Juhudi Za Wasiojiweza
4 Utaua Game
5 Kila Siku
6 Hey Lord
7 Temanoleji
8 Mwanamalundi
9 Shimo Limetema
10 Mama
11 Nyota Ya Mchezo
12 Usinikubali Haraka
13 Ripoti za Mtaani
14 Nilipotoka
15 Propaganda (Bonus Track)
Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.