Otile Brown - Baby Love текст песни

Текст песни Baby Love - Otile Brown



Mmmh
Oooh laaa
Yeah yeah yeah
Thamani yako, uzuri wako, naujua mwenyewe
Sikuachi pengine uniache wewe
Alimradi unanipenda, peke yetu tutaishi kwenye dunia
Sikuachi pengine uniache wewe
Jiko we jiko langu kama mboni ya macho yangu
Ntakulinda mpenzi wangu
Jiko we jiko langu kama mboni ya macho yangu
Hmmmn
Ntakulinda mpenzi wangu
Achana nao"nao"
Achana nao"nao"
Ooh achana nao
Hao wenye roho mbaya wanatusema vibaya
Achana nao"nao"
Achana nao"nao"
Ooh achana nao
Hao wenye roho mbaya wanatusema vibaya
Baby love, wewe wangu, mi wako wa moyo,
Oh baby love usije niacha kwa fitna na maneno yao
Baby love, wewe wangu, mi wako wa moyo,
Oh baby love usije niacha kwa fitna na maneno yao
Mmmmh
Oh yeah
Huna habari, jinsi gani moyo wangu unaupendeza
We ndio furaha, yangu we ndio amani yangu
We ni jiko, jiko langu,
Kama mboni ya macho yangu
Ntakulinda mpenzi wangu
We ni jiko, jiko langu,
Kama mboni ya macho yangu
Ntakulinda mpenzi wangu
Achana nao"nao"
Achana nao"nao"
Ooh achana nao
Hao wenye roho mbaya wanatusema vibaya
Achana nao"nao"
Achana nao"nao"
Ooh achana nao
Hao wenye roho mbaya wanatusema vibaya
Baby love, wewe wangu, mi wako wa moyo,
Oh baby love usije niacha kwa fitna na maneno yao
Baby love, wewe wangu, mi wako wa moyo,
Oh baby love usije niacha kwa fitna na maneno yao
Baby love, wewe wangu, mi wako wa moyo,
Oh baby love usije niacha kwa fitna na maneno yao
Baby love, wewe wangu, mi wako wa moyo,
Oh baby love usije niacha kwa fitna na maneno yao
We ni jiko, jiko langu, kama mboni ya macho yangu
Nitakulinda mpenzi wangu



Авторы: Otile Brown


Otile Brown - Just in Love
Альбом Just in Love
дата релиза
20-09-2020




Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.