Lyrics Ningekusamehe - Rorexxie
(Yeah!
20
Percent,
Man
Water)
(Okay,
Inno
b,
Witney)
(Odana,
onah,
nah,
nah)
Uliponitosa
mie,
mi
ni'bembeleza
ukakatata
na
sikuwa
na
mie
Minahisi
kisa
sina
chapa
Sasa
sijapata
hata
nikipata
nitazidi
kutafuta
Naomba
ondoka
mwenye
mapenzi
ya
kweli,
asije
akakukuta
Ningekusamehe,
ila
ila
wewe
una
hila
Ningekuwa
na
we
ila
ila,
unapenda
sana
hela
eeh!
(Nani
aliotaka
kunitoa
roho
penzi
likafika
mwisho?)
(Mimi
yakale
achana
nayo
niko
chini
ya
miguu
yako)
(Kwani
nani
aliotaka
kunitoa
roho
penzi
likafika
mwisho?)
(Mimi
yakale
achana
nayo
niko
chini
ya
miguu
yako)
(Mmhh-mmm-mmh,
Mmhh-mmm-mmh)
Basi
sikia
mpenzi,
mbona
wanipa
kazi
Bila
wewe
siwezi,
n'tajawa
na
simanzii
Mwenyewe
wajua,
jinsi
gani
nimekufiaaa
Basi
nakuimbia
usiweze
kunikimbia
aah
Unajua
sina
ujanja
wakuachana
na
we
Kuniacha
njiapanda
nitapaki
wewe
Uyo
mtimuwe,
mi
hunirudie
eeh
Usiniache
nilie,
we,
we
ni
wangu
mie
eh
(Mmhh-mmm-mmh,
Eh-eh-eeh-eeeh)
Ningekusaheme
ila
tayari
mi'nimeisha
mpata
mwengine
Ulitaka
uniuwe
itaitajisi
nikupa
nafasi
nyingine,
eh!
(Nani
aliotaka
kunitoa
roho
penzi
likafika
mwisho?)
(Mimi
yakale
achananayo
niko
chini
ya
miguu
yako)
(Kwani
nani
aliotaka
kunitoa
roho
penzi
likafika
mwisho?)
(Mimi
yakale
achananayo
niko
chini
ya
miguu
yako)
Ni
machungu
kiasi
gani
Uliponiacha
gizani
mi'
ulitaka
nifanye
nini
Kama
sikusaka
kampani,
nilitada
nikasaka
Na
hatimae
nikapata,
nashangaa
wanifuata
eti;
"tusahau
yaliopita"
Ningekusamehe
ila
(ila)
ila,
sio
kimapenzi
Ningekuwa
na
we
ila
(ila)
ila,
nimeishapata
mupenzi
Sina
habari
sitaki
kuwa
na
we
tena
Huna
nafasi
ndo
hivyo
nishakutema
Nakupa
fact
unielewe
kiundani,
sina
mapenzi
kwako
yalikuwepo
tu
zamani
Nenda
tu
uniache
wala
usijali
Nimepata
mwengine
anaenipa
mapenzi
ya
kweli
Ulivyonitenda
mi'nasema
iliniuma,
we
nenda
tu
mi'
sikutaki
tena
Sina
habari
mommy
sikuitaji
tena
Mtoto
mzuri
nipo
nae
mwenye
heshima
La'ana
shida
zote
atavumilia,
na
atanipa
mapenzi
ndivyo
alivyo
nambia
Andika
stori
ya
kwamba
ulikuwa
na
mi
(Andika
stori
ya
kwamba
ulikuwa
na
mi)
Kifo
chapanzi
nifuraha
kwa
kunguru
Sikutaki
tena
mommy
we
niache
huru!
(Nani
aliotaka
kunitoa
roho
penzi
likafika
mwisho?)
(Kwani
nani
aliotaka
kunitoa
roho
penzi
lika
fika
mwisho?)

1 Ningekusamehe
2 Bangi Bangi
3 Yanini Malumbano
4 Sitoi
5 Binti Kimanzi
6 Tamaa mbaya
7 Money money
8 Wajane
9 Sauti yangu
10 Kalamba mwiko
11 Naficha
12 Nyumba ya milele
13 Nimerudi Salama
14 Jieleze
15 Mali za Urithi
16 Bangi
17 Maisha Ya Bongo
18 Nilitegemea
19 Huyo Bwana Si Mfano
20 Mama Neema
21 Watu Pori
22 Subira
23 Mbele Yako Nyuma Yangu
24 Nia Yao
25 Chura
Attention! Feel free to leave feedback.