Lady Jaydee - Distance paroles de chanson

paroles de chanson Distance - Lady Jaydee



Nakupenda, nakutaka, nakuhitaji-ii-iiii
Moyo wangu wakuwaza mpenzi uko mbali nami
Nakupenda, nakutaka, nakuhitaji-ii-iiii
Moyo wangu wakuwaza mpenzi uko mbali nami
Ngiyakuthanda, ngiyakufuna, ngiyakudinga
Nhliziyo yami, ngicabanga ngawe kodwa ukude nami mpenzi
I love you, I want you, and I need you
My heart is thinking of you but you're far away from me
Je t'aime, je t'ave, je besoin du toi
Mmh mon coeur te pans, Mh tiele du moi
Nalingiyo, naleliyo, naza naposa nayo
Motema nanga ezokanisa yoo ozali mosika nanga
Ndagukunda, ndagushaka, ndagukeneye
Umutima wanje ula kwiyumvila aliko ulikule chane
Nze nkwagala, nkwagala, nkwagala nyo-oo-oo
Umutima gwange gukulowoza, naye oliwala nyo nange
Usiku wa manane, nikasikia waniita
Kufumbua macho nagundua ni ndoto
Usiku wa manane, nikasikia kuh kuh
Kutizama pembeni sikuoni mpenzi
Mara nyingi peke yangu nitembeapo njiani
Nina kuwaza wewe na ninapata kiwewe
Nakupenda, nakutaka, nakuhitaji-ii-iiii
Moyo wangu wakuwaza mpenzi uko mbali nami
Ngiyakuthanda, ngiyakufuna, ngiyakudinga
Nhliziyo yami, ngicabanga ngawe kodwa ukude nami mpenzi
I love you, I want you, and I need you
My heart is thinking of you but you're far away from me
Je t'aime, je t'ave, je besoin du toi
Mmh mon coeur te pans, Mh tiele du moi
Nalingiyo, naleliyo, naza naposa nayo
Motema nanga ezokanisa yoo ozali mosika nanga
Ndagukunda, ndagushaka, ndagukeneye
Umutima wanje ula kwiyumvila aliko ulikule chane
Nze nkwagala, nkwagala, nkwagala nyo-oo-oo
Umutima gwange gukulowoza, naye oliwala nyo nange
Uwapo safarini mawazo mengi kichwani
Ili kujiliwaza ninapata ssssss.
Penzi si la mmoja mapenzi ni ya wawili
Na ni ya mimi na wewe witunge mwana wa mawe
Ili siku moja tuwe kitu kimoja
Tuje tujenge pamoja na watoto tuleee
Nakupenda, nakutaka, nakuhitaji-ii-iiii
Moyo wangu wakuwaza mpenzi uko mbali nami
Ngiyakuthanda, ngiyakufuna, ngiyakudinga
Nhliziyo yami, ngicabanga ngawe kodwa ukude nami mpenzi
I love you, I want you, and I need you
My heart is thinking of you but you're far away from me
Je t'aime, je t'ave, je besoin du toi
Mmh mon coeur te pans, Mh tiele du moi
Nalingiyo, naleliyo, naza naposa nayo
Motema nanga ezokanisa yoo ozali mosika nanga
Ndagukunda, ndagushaka, ndagukeneye
Umutima wanje ula kwiyumvila aliko ulikule chane
Nze nkwagala, nkwagala, nkwagala nyo-oo-oo
Umutima gwange gukulowoza, naye oliwala nyo nange
Nakupenda... Mpenzi weee Mpenzi weee
Ngiyakutanda... Mpenzi weee Mpenzi weee
I love you... Mpenzi weee Mpenzi weee
Je t'aime... Mpenzi weee Mpenzi weee
Nalingiyo... Mpenzi weee Mpenzi weee
Ndagukunda... Mpenzi weee Mpenzi weee
Nasema nakutaka... Mpenzi weee Mpenzi weee
Yakufuna... Mpenzi weee Mpenzi weee
Cos I want you... Mpenzi weee Mpenzi weee
Je t'ave... Mpenzi weee Mpenzi weee
Naleliyo... Mpenzi weee Mpenzi weee
Ndagushaka... Mpenzi weee Mpenzi weee



Writer(s): Lady Jaydee


Lady Jaydee - Ya 5. The Best of Lady Jaydee
Album Ya 5. The Best of Lady Jaydee
date de sortie
09-03-2012




Attention! N'hésitez pas à laisser des commentaires.