Fid Q - Masta ( Intro) - перевод текста песни на английский

Текст и перевод песни Fid Q - Masta ( Intro)




Masta ( Intro)
Masta ( Intro)
Wimbo wa kwanza kabisa kuusikia, ulikuwa ni huyu na yule
My first introduction to music came from him and another artist
Hazungumzii mapenzi, Bali anazungumzia jamii kwa ujumla
His lyrics don't dwell on love alone, but critically engage society at large
Sio mtu ambaye kwamba analenga tu soko kama watu wengine
Unlike others who focus solely on commercial success
Vitu kama pesa na vitu kama hivyo
By wealth and fame, I mean
Ni mtu ambaye anafanya kile ambacho, jamii inataka kukipata
He creates music that meets the genuine needs of the community
Unaweza lala na bundi na ukaamka mwenye bahati
When an owl becomes your bedtime companion, you'll wake up feeling blessed
Usilale fofofo, Ruzuku yako itakwisha
Laziness will be your downfall, and opportunities will slip away
Utatembea hovyo, Ka kuku alokatwa kichwa
You'll become like a decapitated chicken, wandering aimlessly
Hakuzaliwa kuwa kamili lakini alizaliwa kuwa real
Not inherently perfect, but authentic by nature
Anajali zaidi kile ambacho watu wanatakiwa kupata kutoka kwake
His primary concern is delivering what the people truly desire
Kile ambacho Mungu amembariki basi na yeye
He considers his God-given abilities
Amekifanya kuwa baraka kwa watu wengine
And shares them with others, spreading blessings
Kwa ufupi, Fid Q ni Masta
In short, Fid Q is a Master
Usiniite mtata nikiwa na njaa ya pesa, story na mkora
Don't call me a quarrelsome man, because I'm hungry for money, my story is one of struggle
Kamwe sitokata tamaa, Forever i'll live so all out
I'll never give up, I'll live life to the fullest
Hustler, Kila kona nasaka goli, Footballer
Hustler, I chase goals around every corner, like a Footballer
Jina ni masta au degosholo ukinicheki tu kora
My name is master or degosholo if you see me playing football
Sio kinyonge homie, Rasta kama Johny dandora
I'm no coward, homie, I'm a Rasta man like Johny from Dandora
Tumsake tonge ila
Let's find something to eat
Namfuata pombe hauoni ving'ora?
Can't you see I'm looking for beer, you dullard?
Mwanza Mwanza to the world, Na hamgomi nikichora
From Mwanza to the world, don't complain when I'm rhyming
Flow zinafanya hadi Joh awaambie sinoni mie bora
My flow is so sick, even Joh would tell you I'm the best
Kutupiana vijineno na kuanza braza hii sio diss
Exchanging insults and starting beef isn't a diss, my friend
Ni vile tunaokotea na meno ya weep it kisha other stiff
It's just that we're hungry and we're grinding it out, tooth and nail
Usiruhusu wakatujaza si tuwape ladha tu sweet
Don't let them fill us with negativity, let's give them a taste of something sweet
Majungu hayazuiliki lakini wino wa Mungu haufutiki
Bitterness is inevitable, but God's ink never fades
Sio tu akeshaye, hata alalaye humpa riziki
It's not just those who stay up late, even those who sleep receive blessings
Palipo mzoga hawakosi taa waliomuwahi fisi
Where there's a carcass, there will be vultures, no matter how much they've wronged
Kuthamini walichonacho, Wataanza kitapo potea
Only when what they have is gone will they truly appreciate it
Na wanacho Miss hawakijui, mpaka kitapotokea
And what they miss, they'll never know until it's gone





Авторы: Fareed Kubanda


Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.