Текст песни Sikomi - Diamond Platnumz
erse
1]
Wanasemaga
mapenzi
safari
Unavyopita
ndo
jinsi
unajongea
Ila
niendako
ni
mbali
sijui
ka
ntafika
sababu
natembea
Niliposikiaga
Habari
Yakisifika
nikakesha
nangojea
Akabariki
Jalali
na
nikawika
muziki
nikauotea
Ile
pruuu
mpaka
Macca
Nikadandiaga
Bongo
movie
Kumbe
mapenzi
hayataki
haraka
Ni
kama
tango
natia
tu
chumyi
Mwenzenu
nikaoza
haswa
Na
kujitia
kitandani
mjuzi
Eti
nataka
fukuza
paka
Badala
ya
mbwa
nikafuga
mbuzi
Hhhmmm
Wivu
ukanifanya
nikagombana
na
marafiki
Ugomvi
na
mamangu
akiniambia
siambiliki
Moyo
ukanambia
Nasibu
sasa
mapenzi
basi
Ila
nang'ang'ania
najaribu
kuipinga
nafsi
Esma
ananiambia
mdogo
wangu
mapenzi
basi
Ila
nang'ang'ania
Nikiumizwa
na
huyu
kesho
nna
mwingine
Ooh
mbona
sikomi
Sikomiii
Sikomi
Licha
ya
mateso
haya
Najiuliza
(oh
sikomiii)
Oh
sikomi
mbona
(Sikomiii)
Mbona
jamani
Sikomi
Licha
ya
mateso
haya
Hhhhmmm
Aliyonifanyia
wa
central
Haki
ya
mungu
siyawezi
sema
Ila
nimejifunza
kesho
nisiwaamini
wacheza
sinema
Moyo
walinipatia
mateso
Siwezi
kumeza
siwezi
tema
Ndio
maana
sikushanga
ile
ghafla
Toka
CCM
kwenda
CHADEMA
Wanasema
kitanda
ukitandika
sharti
ukilalie
Nikajitia
ukamanda
yatakwisha
Wacha
nivumilie
Kila
kiza
kikitanda
Ndo
visa
machozi
me
nilie
Penzi
yakatia
parapanda
Kuwaita
waje
washambulie
Aah
Acha
na
penny
we
darling
Nilio
muhongaga
gari
aliponambia
ana
mimba
Mwisho
wa
siku
akaichomoa
chaliiiii
Mola
akanitunuku
Zari
Akanzalia
dume
na
mwali
Niliyvo
mjinga
nikacheat
aibu
mpaka
Kwa
vyombo
vya
habari
Moyo
unanambia
Nasibu
sasa
mapenzi
basi
Ila
nang'ang'ania
najaribu
kuipinga
nafsi
Lizer
ananiambia
simba
mapenzi
basi
Ila
nang'ang'ania
Nikiumizwa
na
huyu
kesho
nna
mwingine
Ooh
mbona
sikomi
(mboooona)
Sikomiii
(mbona
jamani)
Sikomi
Licha
ya
mateso
haya
Eh
Nishafumania
(oh
sikomiii)
Nikafumaniwa
mimi
(Sikomi)
Nishagombana
na
watu
(Sikomiii)
Licha
ya
mateso
haya
(Mateso
haya)
![Diamond Platnumz - Sikomi](https://pic.Lyrhub.com/img/g/n/c/x/VICPUBxCNG.jpg)
Внимание! Не стесняйтесь оставлять отзывы.