paroles de chanson Nimerudi Salama - Rorexxie
(Nilikwenda
salama,
ninarudi
salama)
(Vibaya
usinifikirie,
kama
kuna
mabaya
nisamehe
mie)
(Nilikwenda
salama,
ninarudi
salama)
(Vibaya
usinifikirie,
kama
kuna
mabaya
nisamehe
mie)
Niliweka
mboleya,
nikamwagilia
shamba
Ikanyeshe
nvua,
ikanisadia
kumwagilia
shamba
Niliacha
maua
yanachanua
nikatimua
Narejea
natabiria
matunda
nitajaza
gunia
Nilimtuma
Batili
vinepi
nepi
avilete
Na
visenti
kidogo
nikasema
uvipokee
Yalemateso
wakati
nikombali
acha
yapite
eh
Leo
narudi
safari,
tafadhali
unipokee
(Nilikwenda
salama,
ninarudi
salama)
(Vibaya
usinifikirie,
kama
kuna
mabaya
nisamehe
mie)
(Nilikwenda
salama,
ninarudi
salama)
(Vibaya
usinifikirie,
kama
kuna
mabaya
nisamehe
mie)
Nilikutana
na
wengi,
kwenye
kusaka
shilingi
Kwenye
ridhiki
fitina
nyingi
hapakosi
vigingi
Kweli
siku
nyingi
sana,
tokaniodoke
hujaniona
Hilo
lisifanye
ukanuna
bila
uvumilivu,
hutovuna
Mwangu
baba
yangu
au
huyo
mama
yangu
Yeye
ndo
wakuvila
vyangu
tena
bila
machungu
Naskia
mwangu
tumefanana
sura,
furaha
iliyojaa
na
sham-bra
sham-bra
Namshukuru
mungu
kukupa
subira,
japokuwa
walikusumbua
wauza
sura
(Hii
na
be
Combination)
(Hii
na
be
Combination)
(Hii
na
be
Combination)
(Hii
na
be
Combination)
Wasisi
wako
uko
nitokakokuenda,
nimempata
mwenzako
Nakuhapia
we
ukopekeako,
mi
sihitaji
murupo,
yanini
mirupo
Popote
ipo
nimeiacha
uko,
leo
narudikwako
Usifikirie
vibaya,
nikifanya
mabya
nafsi
inaona
haya
(Nilikwenda
salama,
ninarudi
salama)
(Vibaya
usinifikirie,
kama
kuna
mabaya
nisamehe
mie)
(Nilikwenda
salama,
ninarudi
salama)
(Vibaya
usinifikirie,
kama
kuna
mabaya
nisamehe
mie)

1 Ningekusamehe
2 Bangi Bangi
3 Yanini Malumbano
4 Sitoi
5 Binti Kimanzi
6 Tamaa mbaya
7 Money money
8 Wajane
9 Sauti yangu
10 Kalamba mwiko
11 Naficha
12 Nyumba ya milele
13 Nimerudi Salama
14 Jieleze
15 Mali za Urithi
16 Bangi
17 Maisha Ya Bongo
18 Nilitegemea
19 Huyo Bwana Si Mfano
20 Mama Neema
21 Watu Pori
22 Subira
23 Mbele Yako Nyuma Yangu
24 Nia Yao
25 Chura
Attention! N'hésitez pas à laisser des commentaires.